masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
IGP Sirro alipata hicho cheo kama mkombozi wa jeshi la polisi.
Tunayakumbuka mapambano yake misituni na wahalifu toka Rwanda na Burundi, huko mapori karibu na mpakani. Wakati huo akiwa kamanda wa Fiekd Force Unit, FFU.
Sasa baada ya kuwa IGP, kuna matukio mengi ya kutofuata sheria za uendeshaji jeshi la polisi, GPO, yameibuliwa. Na jua likapatwa wakati wa uongozi wa Awamu ya 5.
Askari polisi wamekuwa wakiteka, kuua, na hata kufanya matukio ya kijambazi kwa kupewa kiburi na wanasiasa.
Sasa idara za uchunguzi za polisi zina underperform, askari inaelekea kupora imekuwa tabia, na kuna hisia wameanza kuuana kuficha ushahidi.
Mbaya zaidi imani ya wananchi kwa polisi inaendelea kushuka, hata Makamu w Rais Dr Mpango wameshaonyesha kukerwa na hali hii.
Hili limeanza kuwa jeshi la mamluki. Serikali ilifikirie sana suala la kulijenga upya jeshi hili.
Lakini Sirro yeye astaafu tu haraka, kwa heshima, kabla halijatokea tukio jingine baya.
=======
Huu ni mmojawapo kati ya mijadala inayomtaka IGP Sirro aidha kuwajibika au awajibishwe. Mingine hii hapa 👇🏾
1) IGP Sirro ama astaafu au afukuzwe kazi
2) Kwa haya yanayolikumba Taifa letu, ilitakiwa Rais Samia amfute kazi IGP Sirro
3) IGP Sirro jiuzulu ulinde heshima yako
4) IGP Simon Sirro unasubiri nini kujiuzulu kwa kashfa hizi za Jeshi la Polisi?
Tunayakumbuka mapambano yake misituni na wahalifu toka Rwanda na Burundi, huko mapori karibu na mpakani. Wakati huo akiwa kamanda wa Fiekd Force Unit, FFU.
Sasa baada ya kuwa IGP, kuna matukio mengi ya kutofuata sheria za uendeshaji jeshi la polisi, GPO, yameibuliwa. Na jua likapatwa wakati wa uongozi wa Awamu ya 5.
Askari polisi wamekuwa wakiteka, kuua, na hata kufanya matukio ya kijambazi kwa kupewa kiburi na wanasiasa.
Sasa idara za uchunguzi za polisi zina underperform, askari inaelekea kupora imekuwa tabia, na kuna hisia wameanza kuuana kuficha ushahidi.
Mbaya zaidi imani ya wananchi kwa polisi inaendelea kushuka, hata Makamu w Rais Dr Mpango wameshaonyesha kukerwa na hali hii.
Hili limeanza kuwa jeshi la mamluki. Serikali ilifikirie sana suala la kulijenga upya jeshi hili.
Lakini Sirro yeye astaafu tu haraka, kwa heshima, kabla halijatokea tukio jingine baya.
=======
Huu ni mmojawapo kati ya mijadala inayomtaka IGP Sirro aidha kuwajibika au awajibishwe. Mingine hii hapa 👇🏾
1) IGP Sirro ama astaafu au afukuzwe kazi
2) Kwa haya yanayolikumba Taifa letu, ilitakiwa Rais Samia amfute kazi IGP Sirro
3) IGP Sirro jiuzulu ulinde heshima yako
4) IGP Simon Sirro unasubiri nini kujiuzulu kwa kashfa hizi za Jeshi la Polisi?