IGP Sirro soma alama za nyakati, jiuzulu

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
IGP Sirro alipata hicho cheo kama mkombozi wa jeshi la polisi.

Tunayakumbuka mapambano yake misituni na wahalifu toka Rwanda na Burundi, huko mapori karibu na mpakani. Wakati huo akiwa kamanda wa Fiekd Force Unit, FFU.

Sasa baada ya kuwa IGP, kuna matukio mengi ya kutofuata sheria za uendeshaji jeshi la polisi, GPO, yameibuliwa. Na jua likapatwa wakati wa uongozi wa Awamu ya 5.

Askari polisi wamekuwa wakiteka, kuua, na hata kufanya matukio ya kijambazi kwa kupewa kiburi na wanasiasa.

Sasa idara za uchunguzi za polisi zina underperform, askari inaelekea kupora imekuwa tabia, na kuna hisia wameanza kuuana kuficha ushahidi.

Mbaya zaidi imani ya wananchi kwa polisi inaendelea kushuka, hata Makamu w Rais Dr Mpango wameshaonyesha kukerwa na hali hii.

Hili limeanza kuwa jeshi la mamluki. Serikali ilifikirie sana suala la kulijenga upya jeshi hili.

Lakini Sirro yeye astaafu tu haraka, kwa heshima, kabla halijatokea tukio jingine baya.

=======

Huu ni mmojawapo kati ya mijadala inayomtaka IGP Sirro aidha kuwajibika au awajibishwe. Mingine hii hapa 👇🏾

1) IGP Sirro ama astaafu au afukuzwe kazi

2) Kwa haya yanayolikumba Taifa letu, ilitakiwa Rais Samia amfute kazi IGP Sirro

3) IGP Sirro jiuzulu ulinde heshima yako

4) IGP Simon Sirro unasubiri nini kujiuzulu kwa kashfa hizi za Jeshi la Polisi?
 
Pamoja na mapungufu yake kama binadamu angalau IGP Said Mwema aliitendea haki nafasi yake kama IGP na alifanya reformation muhimu sana ndani ya TPF kabla ya kumwachia muungwana mwingine IGP Ernest Mangu ambaye alikuja kutumbuliwa (jiuzulu) kwa sababu ambazo mtumbuaji anazijua mwenyewe.

Since then, TPF ikageuka rasmi taasisi ya kikatili zaidi nchini, isiyojua/zingatia sheria, taasisi inayoongoza kwa UONGO, RUSHWA, UJAMBAZI, UBAMBIKAJI, DHULUMATI, n.k. TPF inahitaji overhauling kubwa mno ikiwa n pamoja na kuundiwa oversight body to oversee its performance of duties. Vinginevyo, ni genge hatari sana!
 
Pamoja na mapungufu yake kama binadamu angalau IGP Said Mwema aliitendea haki nafasi yake kama IGP na alifanya reformation muhimu sana ndani ya TPF kabla ya kumwachia muungwana mwingine IGP Ernest Mangu ambaye alikuja kutumbuliwa (jiuzulu) kwa sababu ambazo mtumbuaji anazijua mwenyewe.

Since then, TPF ikageuka rasmi taasisi ya kikatili zaidi nchini, isiyojua/zingatia sheria, taasisi inayoongoza kwa UONGO, RUSHWA, UJAMBAZI, UBAMBIKAJI, DHULUMATI, n.k. TPF inahitaji overhauling kubwa mno ikiwa n pamoja na kuundiwa oversight body to oversee its performance of duties. Vinginevyo, ni genge hatari sana!
Said Mwema kwa mtazamo wangu ndio IGP bora kuliko wengine.

Uhusiano kati ya Jeshi la Polisi na Wananchi ulikua mzuri.
 
Sina tena imani na polisi hapa nchini. Yaani weshakuwa majambazi kabisa kwa kutumia bunduki na risasi za serikali. What a mess!!

Sasahivi jihami sana unapokuwa mikononi mwa polisi na ukawa na pesa zako halali wakati huo, you are dead!!

Tukio la mfanya biashara kule Mtwara linaumiza sana na kufikirisha mno!

-Kaveli-
 
Sina tena imani na polisi hapa nchini. Yaani weshakuwa majambazi kabisa kwa kutumia bunduki na risasi za serikali. What a mess!!

Sasahivi jihami sana unapokuwa mikononi mwa polisi na ukawa na pesa zako halali wakati huo, you are dead!!

-Kaveli-
True
 
Wafuasi wa Mbowe ndio wanakesha kuwanga usiku na mchana eti IGP Sirro ajiuzulu. Nawaambia wafuasi wa Mbowe/ CHADEMA mtasumbuka sana, na mjue kuwa mboe sio malaika.
 
IGP Sirro alipata hicho cheo kama mkobozi wa jeshi la polisi.

Tunayakumbuka mapambani yake misituni na wahalifu toka Rwanda na Burundi, huko mapori karibu na mpakani...
SIO RAHISI HIVYO.. USICHEZE NA ILE LIFE YA MA V8, ALICHOFANYA NDUNGAI SIO KITENDO RAHISI WALA CHA KUBEZWA. WENGINE NI MPAKA WAFUKUZWE. HIVIHIVI HATOKI NG'OOOOOO
 
IGP Sirro alipata hicho cheo kama mkobozi wa jeshi la polisi.

Tunayakumbuka mapambani yake misituni na wahalifu toka Rwanda na Burundi, huko mapori karibu na mpakani...
Wakikuwahisha tu kama hakuan aliyewaona wanasema wameliua jambazi lilijaribu kutoroka mokononi mwa polisi.

Imeisha hiyo.
 
SIO RAHISI HIVYO.. USICHEZE NA ILE LIFE YA MA V8, ALICHOFANYA NDUNGAI SIO KITENDO RAHISI WALA CHA KUBEZWA. WENGINE NI MPAKA WAFUKUZWE. HIVIHIVI HATOKI NG'OOOOOO
V8 sio iaaue sana. Bali ile pride na ulinzi mkali wa kimamlaka
 
Pamoja na mapungufu yake kama binadamu angalau IGP Said Mwema aliitendea haki nafasi yake kama IGP na alifanya reformation muhimu sana ndani ya TPF kabla ya kumwachia muungwana mwingine IGP Ernest Mangu ambaye alikuja kutumbuliwa (jiuzulu) kwa sababu ambazo mtumbuaji anazijua mwenyewe.

Since then, TPF ikageuka rasmi taasisi ya kikatili zaidi nchini, isiyojua/zingatia sheria, taasisi inayoongoza kwa UONGO, RUSHWA, UJAMBAZI, UBAMBIKAJI, DHULUMATI, n.k. TPF inahitaji overhauling kubwa mno ikiwa n pamoja na kuundiwa oversight body to oversee its performance of duties. Vinginevyo, ni genge hatari sana!
Ukiamua kuachana na sheria ukafata mambo ya ccm you end up here.
 
Back
Top Bottom