IGP Sirro soma alama za nyakati, jiuzulu
IGP amekuwa mwiba mkali sana kwa wafuasi wa mbowe.
genge la kihalifu la mzee mbowe linasumbuka sana na IGP.
 
Said Mwema kwa mtazamo wangu ndio IGP bora kuliko wengine.

Uhusiano kati ya Jeshi la Polisi na Wananchi ulikua mzuri.

Hivi wakati ule watu wakitoka mabenki kuchukua pesa zao wanakula shaba, IGP alikuwa ni nani?
 
SIO RAHISI HIVYO.. USICHEZE NA ILE LIFE YA MA V8, ALICHOFANYA NDUNGAI SIO KITENDO RAHISI WALA CHA KUBEZWA. WENGINE NI MPAKA WAFUKUZWE. HIVIHIVI HATOKI NG'OOOOOO
Bora abaki tu ni mgalatia mwenzetu. Akitoka hapo piga ua Kobaaz ndo atateuliwa.
 
IGP Sirro alipata hicho cheo kama mkombozi wa jeshi la polisi. Tunayakumbuka mapambano yake misituni na wahalifu toka Rwanda na Burundi, huko mapori karibu na mpakani. Wakati huo akiwa kamanda wa Fiekd Force Unit, FFU.
Sasa baada ya kuwa IGP, kuna matukio mengi ya kutofuata sheria za uendeshaji jeshi la polisi, GPO, yameibuliwa. Na jua likapatwa wakati wa uongozi wa Awamu ya 5.

Askari polisi wamekuwa wakiteka, kuua, na hata kufanya matukio ya kijambazi kwa kupewa kiburi na wanasiasa.
Sasa idara za uchunguzi za polisi zina underperform, askari inaelekea kupora imekuwa tabia, na kuna hisia wameanza kuuana kuficha ushahidi.
Mbaya zaidi imani ya wananchi kwa polisi inaendelea kushuka, hata Makamu w Rais Dr Mpango wameshaonyesha kukerwa na hali hii.

Hili limeanza kuwa jeshi la mamluki. Serikali ilifikirie sana suala la kulijenga upya jeshi hili.

Lakini Sirro yeye astaafu tu haraka, kwa heshima, kabla halijatokea tukio jingine baya.
Kwa taarifa yako tu Mzee wa watu alisha omba kujiuzulu tangu enzi za Magu. Magu akamwambia ata staafu naye mama ndio kabisa kwahiyo mwache tu ndio maana hata juzi kasema waziri atajibu kiufupi amechoka. Na anatamani kupumzika japo mamlaka
 
Kwa taarifa yako tu Mzee wa watu alisha omba kujiuzulu tangu enzi za Magu. Magu akamwambia ata staafu naye mama ndio kabisa kwahiyo mwache tu ndio maana hata juzi kasema waziri atajibu kiufupi amechoka. Na anatamani kupumzika japo mamlaka
Kwa hiyo ujambazi ndani ya jeshi la polisi umeshindikana?
Ujambazi ulikuwa unafanywa na maafisa wa vyeo vya chini, sasa ma Inspector wa Polisi ndio wanafanya ujambazi.
Pathetic!
 
Kwa taarifa yako tu Mzee wa watu alisha omba kujiuzulu tangu enzi za Magu. Magu akamwambia ata staafu naye mama ndio kabisa kwahiyo mwache tu ndio maana hata juzi kasema waziri atajibu kiufupi amechoka. Na anatamani kupumzika japo mamlaka
Sirro ameshindwa kudhibiti Polisi hebu mshauri aondoke kwa manufaa ya nchi
 
Halafu hiyo template ya PR zao waibadilishe. Eti “askari wetu wakakamavu wakajibu mapigo na kuweza kuwapiga risasi majambazi wote . Kwa bahati mbaya walipofikishwa hospitali waliweza kufariki”!

Sh*t, we ain’t that fck’n dumb guys! Stop insulting our intelligence, p’se!
 
Pamoja na mapungufu yake kama binadamu angalau IGP Said Mwema aliitendea haki nafasi yake kama IGP na alifanya reformation muhimu sana ndani ya TPF kabla ya kumwachia muungwana mwingine IGP Ernest Mangu ambaye alikuja kutumbuliwa (jiuzulu) kwa sababu ambazo mtumbuaji anazijua mwenyewe.

Since then, TPF ikageuka rasmi taasisi ya kikatili zaidi nchini, isiyojua/zingatia sheria, taasisi inayoongoza kwa UONGO, RUSHWA, UJAMBAZI, UBAMBIKAJI, DHULUMATI, n.k. TPF inahitaji overhauling kubwa mno ikiwa n pamoja na kuundiwa oversight body to oversee its performance of duties. Vinginevyo, ni genge hatari sana!
Mwema aliofanya kazi nzuri enzi zake, kwa kipindi Cha uongozi wa Simon Sirro mengi mazuri kafanya.Miaka 5 iliyopita hatukusikia mabasi na malori kusindikizwa na askari Sirro alikuwa sahani moja na majambazi hadi yakaomba poop.Hukuwahi kusikia uporaji kwenye mabenki.Kibiti magaidi walijifanya kuvimba Cha moto walikiona.Hakuna albino alipoteza maisha kipindi Cha Sirro.Simon Sirro anahitaji kujengewa mnara wa kumbukumbu yenye picha yake
 
Mwema aliofanya kazi nzuri enzi zake, kwa kipindi Cha uongozi wa Simon Sirro mengi mazuri kafanya.Miaka 5 iliyopita hatukusikia mabasi na malori kusindikizwa na askari Sirro alikuwa sahani moja na majambazi hadi yakaomba poop.Hukuwahi kusikia uporaji kwenye mabenki.Kibiti magaidi walijifanya kuvimba Cha moto walikiona.Hakuna albino alipoteza maisha kipindi Cha Sirro.Simon Sirro anahitaji kujengewa mnara wa kumbukumbu yenye picha yake
... hayo mengine nikipata muda nitarudi; ila hilo la albino (na vikongwe) yalikuwa makafara kusafisha njia.
 
Mwema aliofanya kazi nzuri enzi zake, kwa kipindi Cha uongozi wa Simon Sirro mengi mazuri kafanya.Miaka 5 iliyopita hatukusikia mabasi na malori kusindikizwa na askari Sirro alikuwa sahani moja na majambazi hadi yakaomba poop.Hukuwahi kusikia uporaji kwenye mabenki.Kibiti magaidi walijifanya kuvimba Cha moto walikiona.Hakuna albino alipoteza maisha kipindi Cha Sirro.Simon Sirro anahitaji kujengewa mnara wa kumbukumbu yenye picha yake
Mkuu sahihisha andiko lako.
Tatizo la Kibiti polisi waliingia kichwa kichwa na yaliyotokea, hasa ambush za kigaidi hatujasahau.
Ile ilikuwa joint operation ya vyombo vya ulinzi na usalama.
Makomandoo wa JWTZ kule walinoa mbinu zao, na kufyekekea mbali magaidi.
 
Mkuu sahihisha andiko lako.
Tatizo la Kibiti polisi waliingia kichwa kichwa na yaliyotokea hasa ambusha za kigaidi hatujasahau.
Ile ilikuwa joint operation ya vyombo vya ulinzi na usalama.
Makomandoo wa JWTZ kule walinoa mbinu zao, na kufyekekea mbali magaidi.
Upo sahihi
 
IGP Sirro alipata hicho cheo kama mkombozi wa jeshi la polisi. Tunayakumbuka mapambano yake misituni na wahalifu toka Rwanda na Burundi, huko mapori karibu na mpakani. Wakati huo akiwa kamanda wa Fiekd Force Unit, FFU.
Sasa baada ya kuwa IGP, kuna matukio mengi ya kutofuata sheria za uendeshaji jeshi la polisi, GPO, yameibuliwa. Na jua likapatwa wakati wa uongozi wa Awamu ya 5.

Askari polisi wamekuwa wakiteka, kuua, na hata kufanya matukio ya kijambazi kwa kupewa kiburi na wanasiasa.
Sasa idara za uchunguzi za polisi zina underperform, askari inaelekea kupora imekuwa tabia, na kuna hisia wameanza kuuana kuficha ushahidi.
Mbaya zaidi imani ya wananchi kwa polisi inaendelea kushuka, hata Makamu w Rais Dr Mpango wameshaonyesha kukerwa na hali hii.

Hili limeanza kuwa jeshi la mamluki. Serikali ilifikirie sana suala la kulijenga upya jeshi hili.

Lakini Sirro yeye astaafu tu haraka, kwa heshima, kabla halijatokea tukio jingine baya.
Simon Sirro alikuwa mtu mwema sana mpaka alipokuja kuharibiwa na lile SHETANI la Chato.

Asingetekeleza UDHALIMU wa Magufuli pengine angefanyiwa yeye Unyama.

Yasemkana Sirro ni Mkatoliki safi na mcha Mungu ambaye malengo yake yalikuwa awe Padre baada ya kufika Seminari Kuu hadi kuvaa mkanda wa U-FRATERI.

Hata Mimi wa sasa namshauri ajiuzulu ili kujitenga na uchafu wa Polisi
 
Sina tena imani na polisi hapa nchini. Yaani weshakuwa majambazi kabisa kwa kutumia bunduki na risasi za serikali. What a mess!!

Sasahivi jihami sana unapokuwa mikononi mwa polisi na ukawa na pesa zako halali wakati huo, you are dead!!

Tukio la mfanya biashara kule Mtwara linaumiza sana na kufikirisha mno!

-Kaveli-
Tuna Genge la Majambazi chini Jambazi Kuu Zero. Mpaka sasa yanauana yenyewe kuficha siri za maovu yao
 
Simon Sirro alikuwa mtu mwema sana mpaka alipokuja kuharibiwa na lile SHETANI la Chato.

Asingetekeleza UDHALIMU wa Magufuli pengine angefanyiwa yeye Unyama.

Yasemkana Sirro ni Mkatoliki safi na mcha Mungu ambaye malengo yake yalikuwa awe Padre baada ya kufika Seminari Kuu hadi kuvaa mkanda wa U-FRATERI.

Hata Mimi wa sasa namshauri ajiuzulu ili kujitenga na uchafu wa Polisi
Huyu bora aliuacha U-FRATERI vinginevyo asingeyaweza yajayo
 
Simon Sirro alikuwa mtu mwema sana mpaka alipokuja kuharibiwa na lile SHETANI la Chato.

Asingetekeleza UDHALIMU wa Magufuli pengine angefanyiwa yeye Unyama.

Yasemkana Sirro ni Mkatoliki safi na mcha Mungu ambaye malengo yake yalikuwa awe Padre baada ya kufika Seminari Kuu hadi kuvaa mkanda wa U-FRATERI.

Hata Mimi wa sasa namshauri ajiuzulu ili kujitenga na uchafu wa Polisi
Mimi namkumbuka alivyopambana vyema na majambazi ya toka nchi jirani.
Yeye na kamanda Venace Tossi walikuwa mahiri sana.
 
Tza IGP alikuwa Said Mwema na angalau Mangu kidogo hawa walifanya reformation kubwa
 
Back
Top Bottom