Hahaaa!!njaa babaaa, ki ukweli kwa sasa jeshi la polisi limerudi enzi zile za mahita!!Said mwema alijitahidi sana kulirudisha kwenye mstari na akafanikiwa kabisa!!sasa huyu yeye ana amini ktk nguvu na vitisho tu, na sio kwenye weredi!!ila mama kwa kutoa maagizo ya kuundwa kamati ya uchunguzi, na ripoti yake ikafanyiwa kazi inaweza leta mabadiriko, chanzo ni awamu ya 5, kwani jiwe naye aliamini zaidi kwenye utumiaji nguvu na vitisho!!Kama vipi huyo kamishina mpya (Awadhi)wa jeshi la polisi zanzibar apewe u IGP, tu, kwani umakini wake unajulikana sana, wakati akiwa dar, waulize madreva wa daldala habari zake wanazo!!Siro kwa sasa mbinu zimemuishia kabisa, japo huko nyuma alionekana mtu makini sana, kabla hajawa igp!!