Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na aibu ya mkoa wa MaraSiro ni aibu ya rais
Ni wakati sasa jeshi hili liongozwe na utamaduni wa Ki JWTZ ambalo limejizolea uaminifu kwa wananchi tuletee IGP kutoka huko iwapo tunataka mabadiliko serious halafu chini asaidiwe na timu ya akina Awadhi, Suzana Kaganda, RPC dsm na yule bosi wa Takukuru nk. Mabadiliko makubwa ya kimtizamo na kiutendaji yatapatikana. Inahitajika transformation kubwa. Polisi ndiyo kioo cha serikali na Taifa kinahitaji kuongozwa kiweledi, uaminifu na bila upendeleo au uonevu wa aina yoyote. Baada ya hapo wapewe mafunzo yenye mwelekeo wa kulinda haki za binadamu lakini kufanya kazi kisayansi teknolojia na maslahi bora na bila kuacha mbinu zilizowasaidia kukomesha ujambazi na uhalifu sugu uilokuwa tishio miaka ya nyuma.Kwa uozo uliopo ndani ya chombo unachokisimamia Kama mkuu wake huoni kuwa huenda umechoka na kuishiwa mbinu kiasi kwamba imekuwa fedheha kwako Kama kiongozi jitathimini hata ukisimama mbele ya Mh Rais uone aibu jeshi limepoteza WELEDI kwa kasi sana Tangu IGP MAHITA alipokuwepo na wewe ndio umelipeleka porini kabisaa chukua KALAMU NA KARATASI UMSHUKURU MH RAIS ILI MTAANI UHESHIMIWE MUDA NI MWALIMU MZURI UTAKUUMBUA JIUZULU ASANTE
Askari wasio waadilifu kiboko yao ni Awadhi, wanamjua haswaa,Hahaaa!!njaa babaaa, ki ukweli kwa sasa jeshi la polisi limerudi enzi zile za mahita!!Said mwema alijitahidi sana kulirudisha kwenye mstari na akafanikiwa kabisa!!sasa huyu yeye ana amini ktk nguvu na vitisho tu, na sio kwenye weredi!!ila mama kwa kutoa maagizo ya kuundwa kamati ya uchunguzi, na ripoti yake ikafanyiwa kazi inaweza leta mabadiriko, chanzo ni awamu ya 5, kwani jiwe naye aliamini zaidi kwenye utumiaji nguvu na vitisho!!Kama vipi huyo kamishina mpya (Awadhi)wa jeshi la polisi zanzibar apewe u IGP, tu, kwani umakini wake unajulikana sana, wakati akiwa dar, waulize madreva wa daldala habari zake wanazo!!Siro kwa sasa mbinu zimemuishia kabisa, japo huko nyuma alionekana mtu makini sana, kabla hajawa igp!!
Yaani huyo jamaa alipokuwa kitengo cha trafiki dar, aliogopwa mno!!kwani yeye hataki maneno,kama umefanya kosa, kwanza unatiwa ndani, na faini juu, au mahakamani!!na hata polisi wa chini walikuwa wakimuogopa sana!!Askari wasio waadilifu kiboko yao ni Awadhi, wanamjua haswaa,
angepewa Awadhi u-IGP hili alinyooshe jeshi la polisi na kukomesha matukio ya hovyo,au ikishindikana ateuliwa meja general kutoka JW awe IGP
Hahahaha. Wale nao wanatumia nguvu sanaIGP atoke JWTZ kama ilivyo kwa Magereza
" Nimemuagiza Waziri Mkuu,kuunda tume kuchunguza tuhuma za mauaji yaliyofanywa na Polisi- Mtwara.Polisi hawawezi kujichunguza wenyewe"Rais Samia Suluhu,akiwa njiani kuelekea Mara.Na aibu ya mkoa wa Mara
Tupate IGP mpya kutoka ZANZIBAR, serikali ni ya muungano lakini Ma-IGP wamekuwa wakitoka bara tu., mama alione na hili.Kwa uozo uliopo ndani ya chombo unachokisimamia Kama mkuu wake huoni kuwa huenda umechoka na kuishiwa mbinu kiasi kwamba imekuwa fedheha kwako Kama kiongozi jitathimini hata ukisimama mbele ya Mh Rais uone aibu jeshi limepoteza WELEDI kwa kasi sana Tangu IGP MAHITA alipokuwepo na wewe ndio umelipeleka porini kabisaa chukua KALAMU NA KARATASI UMSHUKURU MH RAIS ILI MTAANI UHESHIMIWE MUDA NI MWALIMU MZURI UTAKUUMBUA JIUZULU ASANTE