Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzanaki yuleMzee Sirro (mkurya mwenzangu) kwa kweli kwenye baadhi ya Mambo amepwaya japo yapo aliyojitahidi kuyafanya.
Binafsi namuomba awe na huruma kwa Tundu Lissu atuambie Nani alifanya ule upuuzi na kwanini kamera ziliondolewa,ama sivo dhambi hiyo itamwandama mzee wangu
Toka tupate Uhuru tumekuwana IGP wengi lakini kati ya hao wote haijawahi tokea wakati Jeshi la Polisi limelaumiwa kama ilivyo chini ya uongozi wa Sirro. Enzi ya awamu ya kwanza kulitokea kashfa ya mauaji ya Shinyanga na IGP wa wakati huo ambae kwa bahati mbaya simkumbuki jina pamoja na waziri wake mzee Mwenyi na aliyekuwa mshauri wa masuala ya usalama mzee Paul Sozigwa waliwajibika kwa kujiuzulu.
Ni mruo si mzanaki Wala mkuryaMzanaki yule
Sasahivi usalama wa raia siyo kipaumbele, kipaumbele ni kushughulikia wapinzani haswa CHADEMAToka tupate Uhuru tumekuwana IGP wengi lakini kati ya hao wote haijawahi tokea wakati Jeshi la Polisi limelaumiwa kama ilivyo chini ya uongozi wa Sirro. Enzi ya awamu ya kwanza kulitokea kashfa ya mauaji ya Shinyanga na IGP wa wakati huo ambae kwa bahati mbaya simkumbuki jina pamoja na
Matatizo haya yanatosha kumfanya mfanyikazi yeyote mwenye kuwajibika kuona umuhimu wa kuachia ngazi . Kama yeye haoni umuhu basi aliyemteua aone kuwa huyu mtu ameshindwa kazi na anachofanya ni kumchafua mteuzi wake aonekane anamuunga mkono kwenye masuala yote haya.
What?Ni mruo si mzanaki Wala mkurya
Ni mruo wa kiabakari. Kuna waruao wengi tu msoma vijijini. Kuanzia nyamaguku mpaka makutano ya nyakanga na kiabakari. Napajua huko vema maana nimesoma Mara advance.What?
Ni tofauti na wajaluo?Ni mruo wa kiabakari. Kuna waruao wengi tu msoma vijijini. Kuanzia nyamaguku mpaka makutano ya nyakanga na kiabakari. Napajua huko vema maana nimesoma Mara advance.
Ni wale waleNi tofauti na wajaluo?
Ila kwa jeshi lililo kosa weledi limeongozwa na huyu baba!! Aone aibu tu astaafu!!Ni wale wale