IGP Sirro soma alama za nyakati, jiuzulu
Wampe u igp yule mwanamama tu sahv naona kidogo jeshi la polisi ataliweka sawa !

Ova
 
Acha nicheke unafikir rahisi kiadi hicho kwa nchi hii aijawai kutokea na aitatokea kwa kiongozi wa chombo cha ulinzi na usalama kufutwa kazi labda kupewa ubalozi
 
Wengi kiasi gani?
Mkuu ni hivi... kwa nchi ambayo wananchi wengi hawajielewi nadhani matukio kama hayo yakitokea yanawapa mafundisho ya moja kwa moja!!
Huku tunaweza kukamiana na kujibizana lakini kama wananchi wengi kwa wingi wao hawajaelewa bado tunafanya kazi bure.

NB: Nadhani sasa umenielewa
 
Kumfuta kazi iambatane na maboresho ya nguvu.
Anyway! Kwa kuwa linakisaidia chama kushika hatamu kwa 'namna mbalimbali', hayo mengine ni kama makelele tu
 
Kwanza ni kukithiri kwa kashfa nyingi zinalorihusu Jeshi la polisi juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kupiga na kutesa watuhumiwa kinyume kabisa na ibara ya 13 (6)(b)(e). Malalamiko yamekuwa mengi kiasi cha kulichafua taifa letu kuwa lina jeshi la wapiga raia na watesa raia wanaotuhumiwa kwa makosa mbalimbali.

Kuibuka kwa matukio ya mauaji ambayo yamelikumba taifa letu kiasi cha kuwafanya watanzania wapate hofu kubwa. Kufululiza kwa mauaji haya yanatia hofu kuwa sasa maisha yao yapo hatarini na wauaji wamejiamini kuwa hakuna chombo kinachoweza kuwatia mikononi mwa sheria.

Kujihusisha kwa maafisa wa polisi na siasa waziwazi kiasi cha baadhi ya maafisa kukiri wazi wazi kuwa wanailinda Ccm ibaki madarakani kwa mtutu wa bunduki. Mfano ni afande Kiondo ambaye amefunguka hadharani kabisa.

Rushwa kuwa sehemu ya maisha ya jeshi la polisi huku wasio na pesa wanapotenda makosa ndio hufikishwa mahakamani ambapo wenye pesa hawagusi mahakamani kabisa.

Kwa mukutadha huu Sirro alitakiwa awe amefutwa kazi.
Mbona enzi za mfalme hukuwah kusema haya???
 
Kwanza ni kukithiri kwa kashfa nyingi zinalorihusu Jeshi la polisi juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kupiga na kutesa watuhumiwa kinyume kabisa na ibara ya 13 (6)(b)(e). Malalamiko yamekuwa mengi kiasi cha kulichafua taifa letu kuwa lina jeshi la wapiga raia na watesa raia wanaotuhumiwa kwa makosa mbalimbali.

Kuibuka kwa matukio ya mauaji ambayo yamelikumba taifa letu kiasi cha kuwafanya watanzania wapate hofu kubwa. Kufululiza kwa mauaji haya yanatia hofu kuwa sasa maisha yao yapo hatarini na wauaji wamejiamini kuwa hakuna chombo kinachoweza kuwatia mikononi mwa sheria.

Kujihusisha kwa maafisa wa polisi na siasa waziwazi kiasi cha baadhi ya maafisa kukiri wazi wazi kuwa wanailinda Ccm ibaki madarakani kwa mtutu wa bunduki. Mfano ni afande Kiondo ambaye amefunguka hadharani kabisa.

Rushwa kuwa sehemu ya maisha ya jeshi la polisi huku wasio na pesa wanapotenda makosa ndio hufikishwa mahakamani ambapo wenye pesa hawagusi mahakamani kabisa.

Kwa mukutadha huu Sirro alitakiwa awe amefutwa kazi.

Tabia hii chafu na kiburi cha polisi kilipandwa na Magufuli sasa ni muendelezo tu, kwakuwa wewe ulinifaika na utawala ule wa kidhalimu ulikaa kimya. Kwasasa haupo kwenye ulaji ndio unaleta uchuro.
 
Tabia hii chafu na kiburi cha polisi kilipandwa na Magufuli sasa ni muendelezo tu, kwakuwa wewe ulinifaika na utawala ule wa kidhalimu ulikaa kimya. Kwasasa haupo kwenye ulaji ndio unaleta uchuro.
Najua vizuri chuki zako dhidi ya hayati JPM.
 
Asimamishe malori asubuhi mbezi ubungo yanau watu. Mbona wakati Magufuli walisimamia vizuri, nini kimetokea awamu hii.
 
Kwanza ni kukithiri kwa kashfa nyingi zinalorihusu Jeshi la polisi juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kupiga na kutesa watuhumiwa kinyume kabisa na ibara ya 13 (6)(b)(e). Malalamiko yamekuwa mengi kiasi cha kulichafua taifa letu kuwa lina jeshi la wapiga raia na watesa raia wanaotuhumiwa kwa makosa mbalimbali.

Kuibuka kwa matukio ya mauaji ambayo yamelikumba taifa letu kiasi cha kuwafanya watanzania wapate hofu kubwa. Kufululiza kwa mauaji haya yanatia hofu kuwa sasa maisha yao yapo hatarini na wauaji wamejiamini kuwa hakuna chombo kinachoweza kuwatia mikononi mwa sheria.

Kujihusisha kwa maafisa wa polisi na siasa waziwazi kiasi cha baadhi ya maafisa kukiri wazi wazi kuwa wanailinda Ccm ibaki madarakani kwa mtutu wa bunduki. Mfano ni afande Kiondo ambaye amefunguka hadharani kabisa.

Rushwa kuwa sehemu ya maisha ya jeshi la polisi huku wasio na pesa wanapotenda makosa ndio hufikishwa mahakamani ambapo wenye pesa hawagusi mahakamani kabisa.

Kwa mukutadha huu Sirro alitakiwa awe amefutwa kazi.
Picha_ikimuonyesha_Mkuu_wa_Jeshi_la_Polisi_nchini_Tanzania_akiwa_ameshika_picha_ya_CCTV_Camera...jpg
-%20KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Kwanza ni kukithiri kwa kashfa nyingi zinalorihusu Jeshi la polisi juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kupiga na kutesa watuhumiwa kinyume kabisa na ibara ya 13 (6)(b)(e). Malalamiko yamekuwa mengi kiasi cha kulichafua taifa letu kuwa lina jeshi la wapiga raia na watesa raia wanaotuhumiwa kwa makosa mbalimbali.

Kuibuka kwa matukio ya mauaji ambayo yamelikumba taifa letu kiasi cha kuwafanya watanzania wapate hofu kubwa. Kufululiza kwa mauaji haya yanatia hofu kuwa sasa maisha yao yapo hatarini na wauaji wamejiamini kuwa hakuna chombo kinachoweza kuwatia mikononi mwa sheria.

Kujihusisha kwa maafisa wa polisi na siasa waziwazi kiasi cha baadhi ya maafisa kukiri wazi wazi kuwa wanailinda Ccm ibaki madarakani kwa mtutu wa bunduki. Mfano ni afande Kiondo ambaye amefunguka hadharani kabisa.

Rushwa kuwa sehemu ya maisha ya jeshi la polisi huku wasio na pesa wanapotenda makosa ndio hufikishwa mahakamani ambapo wenye pesa hawagusi mahakamani kabisa.

Kwa mukutadha huu Sirro alitakiwa awe amefutwa kazi.

You just are unable to see the Big Picture! Tatizo letu sio IGP Siro wala Jeshi la Polisi. Tatizo letu ni kubwa zaidi ya hapo. Kwa kifupi, tatizo letu ni tatizo la kimfumo.

[emoji3578]IGP Siro sio IGP wa kwanza wa Jeshi la Polisi. Kwa kumbukumbu yako, ni IGP gani amewahi kulifanya Jeshi letu la Polisi kuwa bora zaidi?

[emoji3578]Kwa akili yako wewe, ni kiungo gani cha Serikali yetu ambacho unadhani kinafanya kazi kama ipasavyo?

[emoji3578]Unajua ni wagonjwa wangapi, kwa sababu ya umasikini wao, wanapoteza maisha kila siku kwenye Government hospitals zetu kwa kutelekezwa na watumishi ambao wameajiriwa (na wanalipwa mishahara kwa kodi zetu) ili wawahudumie hao wagonjwa?

[emoji3578]Unajua ni watu wangapi hawapati haki zao kwenye mahakama zetu kwa sababu ya umasikini wao?

[emoji3578]Unajua ni watu wangapi wenye sifa stahiki wananyimwa ajira Serikalini kwa sababu hawana Godfathers/Godmothers Serikalini?

[emoji3578]Unajua ni Watanzania wangapi wanaishi maisha ya dhiki kupindukia huku wanasiasa wakitafuna keki ya taifa kwa urefu wa kamba zao?

[emoji3578]And the list goes on…

Unaweza kubadilisha watendaji wote Serikalini leo, lakini tatizo letu litabaki pale pale. Ili kutatua hili tatizo, tunahitaji kufanya overhaul ya governing system nzima ili watendaji wengi kadri uwezekanavyo wawajibike zaidi kwa wananchi wenyewe badala ya kuwajibika kwa self-proclaimed semi gods waliolewa madaraka tuliyowapa sisi wenyewe!
 
Ni sahihi ilitakiwa afukuzwe but Rais anamsitahi pengine mda wake umekaribia.
Siyo anamstahi, bali yeye ndiyo mnufaika mkubwa wa utawala wa huyu IGP Sirro.

Umesahau wakati ule wa uchaguzi mkuu, Polisi wakiwa ndiyo wanao-escort mabox ya kura ya wizi yanayoingia kwenye vituo vya kupigia kura??
 
Toka tupate Uhuru tumekuwana IGP wengi lakini kati ya hao wote haijawahi tokea wakati Jeshi la Polisi limelaumiwa kama ilivyo chini ya uongozi wa Sirro. Enzi ya awamu ya kwanza kulitokea kashfa ya mauaji ya Shinyanga na IGP wa wakati huo ambae kwa bahati mbaya simkumbuki jina pamoja na waziri wake mzee Mwenyi na aliyekuwa mshauri wa masuala ya usalama mzee Paul Sozigwa waliwajibika kwa kujiuzulu.

Vivyo hivyo kwa mauaji ya Kilombero viongozi waliwajibika pamoja na aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Morogoro hayati Chrisant Majiyatanga Mzindakaya.

Toka tuingie kwenye mfumo wa vyama vingi vurugu na mauaji yamekuwa yakitokea enzi ya mzee Mahita, Saidi Mwema na wengine lakini si kwa kiwango cha kufikia enzi hizi za IGP Sirro. Maafa ya raia yanaweza kuweka kwenye makundi matatu:

1) Watu kupotea bila ya polisi kutoa maelezo yoyote au watuhumiwa kufikishwa mahakamani. Mifano no Azori Gwamba mwandishi wa habari wa gazeti la mwananchi, Ben Saanane msaidizi wa mwenyekiti CHADEMA, vijana watano waliopotea katika mazingira ya ktatanisha n.k.

2) Kupigwa risasi Tundu Lissu kwenye eneo lenye ulinzi wa polisi 24/7.

3) Watu kutekwa katika mazingira ya kutatanisha kama vile kutekwa kwa Mo Dewji, kutekwa kwa wasanii Nay wa Mitego na Roma Mkatoliki.

4) Watu kuuawa bila polisi kutoa taarifa za uchunguzi mifano ni diwani wa CHADEMA Namawala, maiti zilizookotwa baharini, maiti mto Ruvu nk.

5) Mbaya kuliko zote no watu kuuawa wakiwa mikomoni mwa polisi. Mfano wa karibu kabisa ni mfanyibiashara wa Mtwara na mingine mingi.

Matatizo haya yanatosha kumfanya mfanyikazi yeyote mwenye kuwajibika kuona umuhimu wa kuachia ngazi . Kama yeye haoni umuhu basi aliyemteua aone kuwa huyu mtu ameshindwa kazi na anachofanya ni kumchafua mteuzi wake aonekane anamuunga mkono kwenye masuala yote haya.
 
Back
Top Bottom