Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Jeshi hili kinatakiwa kuja na maono mapya,
New face new visions.
New face new visions.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo wanayofanya unadhani ni kwa bahati mbaya au hawajui namna ya kuboresha?? Unakumbuka kikichotokea october 2020 and forth?Kuna mambo yanafanyika isivyo , I wish ningekuwa na nafasi nifanye write up yakutosha yamkini iweze kuleta maboresho yakukidhi mahitaji ya wakati ya waTZ.
Sikuelewi mkuu.Ulilala usingizi Bwana Idigunde ndio unaamka
Una maana gani kamanda?Kipenzi chako JPm alimfuta? mbona ya enzi zake yalikuwa makubwa zaidi?
Usijifanye kulishauri jeshi la polisi.Una maana gani kamanda?
Tofautisha uhalisia na kushauri jambo fulani.Usijifanye kulishauri jeshi la polisi.
Duh hii ni aibu ndugu yangu.Yeye Samia kujifuta kazi kwa kuhamasisha ufisadi je?View attachment 2098994
Inasikitisha Sana.Kwa hiyo wenye dhamana ya kulinda wananchi na mali zao wanaua ? [emoji24]
Ni maajabu ya Dunia!ID imeibiwa.
Ni ajabu na kweli!ID imeibiwa.
Labda ndio Majukumu yake Mapya Nchi ina Mambo hiiKwanza ni kukithiri kwa kashfa nyingi zinalorihusu jeshi la polisi juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kupiga na kutesa watuhumiwa kinyume kabisa na ibara ya 13 (6)(b)(e). Malalamiko yamekuwa mengi kiasi cha kulichafua taifa letu kuwa lina jeshi la wapiga raia na watesa raia wanaotuhumiwa kwa makosa mbalimbali.
Kuibuka kwa matukio ya mauaji ambayo yamelikumba taifa letu kiasi cha kuwafanya watanzania wapate hofu kubwa. Kufuruliza kwa mauaji haya yanatia hofu kuwa sasa maisha yao yapo hatarini na wauaji wamejiamini kuwa hakuna chombo kinachoweza kuwatia mikononi mwa sheria.
Kujihusisha kwa maafisa wa polisi na siasa waziwazi kiasi cha baadhi ya maafisa kukiri wazi wazi kuwa wanailinda Ccm ibaki madarakani kwa mtutu wa bunduki. Mfano ni afande Kiondo ambaye amefunguka hadharani kabisa.
Rushwa kuwa sehemu ya maisha ya jeshi la polisi huku wasio na pesa wanapotenda makosa ndio hufikishwa mahakamani ambapo wenye pesa hawagusi mahakamani kabisa.
Kwa mukutadha huu sirro alitakiwa awe amefutwa kazi.
Kipenzi chako JPm alimfuta? mbona ya enzi zake yalikuwa makubwa zaidi?
Ni sahihi ilitakiwa afukuzwe but Rais anamsitahi pengine mda wake umekaribia.Kwa kweli inasikitisha muno!
Apo kwenye kujihusisha na siasa ndio pa ovyo kabisa.Kwanza ni kukithiri kwa kashfa nyingi zinalorihusu Jeshi la polisi juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kupiga na kutesa watuhumiwa kinyume kabisa na ibara ya 13 (6)(b)(e). Malalamiko yamekuwa mengi kiasi cha kulichafua taifa letu kuwa lina jeshi la wapiga raia na watesa raia wanaotuhumiwa kwa makosa mbalimbali.
Kuibuka kwa matukio ya mauaji ambayo yamelikumba taifa letu kiasi cha kuwafanya watanzania wapate hofu kubwa. Kufululiza kwa mauaji haya yanatia hofu kuwa sasa maisha yao yapo hatarini na wauaji wamejiamini kuwa hakuna chombo kinachoweza kuwatia mikononi mwa sheria.
Kujihusisha kwa maafisa wa polisi na siasa waziwazi kiasi cha baadhi ya maafisa kukiri wazi wazi kuwa wanailinda Ccm ibaki madarakani kwa mtutu wa bunduki. Mfano ni afande Kiondo ambaye amefunguka hadharani kabisa.
Rushwa kuwa sehemu ya maisha ya jeshi la polisi huku wasio na pesa wanapotenda makosa ndio hufikishwa mahakamani ambapo wenye pesa hawagusi mahakamani kabisa.
Kwa mukutadha huu Sirro alitakiwa awe amefutwa kazi.