Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Mbona JW na wao huwa wanafanyaga usafi wakisikia kuna mkutano wa siasaNashauri Rais achague meja general kutoka JW ndio awe IGP,
itaondoa kulindana na itaongeza ufanisi kwenye jeshi la polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona JW na wao huwa wanafanyaga usafi wakisikia kuna mkutano wa siasaNashauri Rais achague meja general kutoka JW ndio awe IGP,
itaondoa kulindana na itaongeza ufanisi kwenye jeshi la polisi
Tafadhali ndugu kuwa na busaraAibu kubwa zaidi ni kwa wewe kukishobokea chama ambacho Rais wake anahamasisha ufisadi waziwazi tena bila hata aibu.
Tatizo lenu ndio hiloNi maajabu ya Dunia!
Kwa kada mwaminifu wa chama tawala, kupost kama mpinzani wa Chadema!
Ni ajabu na kweli!
Leo hii kada maarufu wa chama tawala cha Sisiem, kupost utadhani ni mpinzani wa Chadema!
Mama wa michongo katika unafiki wake ...halafu nikikuta baadhi ya sehemu unakoti neno la Mungu huwa nafunga kinyeo ili usipate aibu ...mfyuuu
Kwanza ni kukithiri kwa kashfa nyingi zinalorihusu Jeshi la polisi juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kupiga na kutesa watuhumiwa kinyume kabisa na ibara ya 13 (6)(b)(e). Malalamiko yamekuwa mengi kiasi cha kulichafua taifa letu kuwa lina jeshi la wapiga raia na watesa raia wanaotuhumiwa kwa makosa mbalimbali.
Kuibuka kwa matukio ya mauaji ambayo yamelikumba taifa letu kiasi cha kuwafanya watanzania wapate hofu kubwa. Kufululiza kwa mauaji haya yanatia hofu kuwa sasa maisha yao yapo hatarini na wauaji wamejiamini kuwa hakuna chombo kinachoweza kuwatia mikononi mwa sheria.
Kujihusisha kwa maafisa wa polisi na siasa waziwazi kiasi cha baadhi ya maafisa kukiri wazi wazi kuwa wanailinda Ccm ibaki madarakani kwa mtutu wa bunduki. Mfano ni afande Kiondo ambaye amefunguka hadharani kabisa.
Rushwa kuwa sehemu ya maisha ya jeshi la polisi huku wasio na pesa wanapotenda makosa ndio hufikishwa mahakamani ambapo wenye pesa hawagusi mahakamani kabisa.
Kwa mukutadha huu Sirro alitakiwa awe amefutwa kazi.
Yaani hili jeshi libaki hivi na huyu Igp?Acha ibaki hivyo hivyo... Labda wananchi watajitambua zaidi.
Tafadhali sana kuwa na busara.Ambae hana Busara ni Samia ambae anahamasisha ufisadi kwenye Taifa pamoja na wewe ambae unamuunga mkono.Unahitaji PhD kujua kitu kidogo kabisa kama hiki?!
Ndiyo Mkuu... Libaki hivyo hivyo hadi wananchi wengi waone matatizo.Yaani hili jeshi libaki hivi na huyu Igp?
Pamoja na kubadili mfumo, huyu Igp anatakiwa afutwe kazi.Haitasaidia kitu.
Wabadili tu mfumo wa jeshi.
Wengi kiasi gani?Ndiyo Mkuu... Libaki hivyo hivyo hadi wananchi wengi waone matatizo.
Nasema hivyo kwa sababu.
Hii kauli ya atake asitake imenikumbusha Bwana job Yustino mjengoni 😆Hakika ni muda muafaka, IGP Sirro, atake asitake, ang'oke kwenye nafasi hiyo na ampishe mwingine atakayefanya Kazi kwa weledi
Kufuta kazi,kutumbua na kuhamisha viongozi hakujaweza kumaliza tatizo la utawala wa CCM.Magu alitumbua majipu mwisho wake sote tunafahamu.Kwanza ni kukithiri kwa kashfa nyingi zinalorihusu Jeshi la polisi juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kupiga na kutesa watuhumiwa kinyume kabisa na ibara ya 13 (6)(b)(e). Malalamiko yamekuwa mengi kiasi cha kulichafua taifa letu kuwa lina jeshi la wapiga raia na watesa raia wanaotuhumiwa kwa makosa mbalimbali.
Kuibuka kwa matukio ya mauaji ambayo yamelikumba taifa letu kiasi cha kuwafanya watanzania wapate hofu kubwa. Kufululiza kwa mauaji haya yanatia hofu kuwa sasa maisha yao yapo hatarini na wauaji wamejiamini kuwa hakuna chombo kinachoweza kuwatia mikononi mwa sheria.
Kujihusisha kwa maafisa wa polisi na siasa waziwazi kiasi cha baadhi ya maafisa kukiri wazi wazi kuwa wanailinda Ccm ibaki madarakani kwa mtutu wa bunduki. Mfano ni afande Kiondo ambaye amefunguka hadharani kabisa.
Rushwa kuwa sehemu ya maisha ya jeshi la polisi huku wasio na pesa wanapotenda makosa ndio hufikishwa mahakamani ambapo wenye pesa hawagusi mahakamani kabisa.
Kwa mukutadha huu Sirro alitakiwa awe amefutwa kazi.
Atatokea idara ya Traffic POLICE,hiyo idara angalau kwa makusanyo madogo ya Tsh.2000 kwa kila gari wamedhibiti ajali za barabarani.Inasikitisha Sana.
Lakini ukweli ndiyo huo, waliopewa dhamana ya kulinda Raia na mali zao, wanakuwa wao ndiyo wako mstari wa mbele, kudhulumu uhai wa Raia hao na kupora mali zao!
Hakika ni muda muafaka, IGP Sirro, atake asitake, ang'oke kwenye nafasi hiyo na ampishe mwingine atakayefanya Kazi kwa weledi