Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maaaan nimecheka sana.Kikawaida walipaswa kutumiwa shilingi ngapi?
Laki tano, milioni moja , kumi au vipi?
Bilioni sita pesa ya mboga nchi gani?Bilioni 6 si ni pesa ya mboga.
Au wao polisi wanataka hicho kituo cha haki za binadamu wasipokee pesa toka kwa mabeberu, wao watatoa ruzuku?
Vibaya sana .. Wana wachokonoa mabeberu wakija kupigwa wasije anza kulia liaHii nchi imeharibika
Acha kutoa majibu mepesiIna maana siku hizi donors kutuma hela kwa wadau hairuusiwi tena kwan mboga mboga mnaogopa nini
Mkuu si unajua mahaba ya kisiasa, hii nchi wanaume wapo kazini. Hata nami nafarijika sana kwa juhudi zozote zinazochukuliwa na serikali hasa kwa kipindi hiki cha uchaguzi mkuu.Kuna watu humu wanatetea utafikiri wao ndo wanaijua nchi kushinda serikali yenyewe! mbona hilo ni utaratibu yakinifu au mlitaka waachiwe tu kwa kuwa Kuna huu msamiati "watetezi wa haki za binadamu!!"
Serikali hebu kagueni hizo mutu mpk mjiridhishe hakuna cha kuangalia usoni hapa,hayo matetezi kwanza yanavunjaga na mipaka yanatetea mpk ndoa za kinyume na jinsia!
Siasa za kwenye mitandao ya kijamii raha sana.Dah hii ni Tanzania.Kaka yangu Ole Ngurumwa hata wakizuia Pesa.lazima tutawanyoosha tu kwenye sanduku la kura ije jua ije mvua.
Hao ni wapumbavu kama sio vijana wadogo wenye kuongozwa with no rasoning.Kwani hizo hela wewe unajua zimetoka wapi na zilikuwa na kazi gani?
akiwemo SirroKITUO CHA KUTETEA HAKI ZA BINADAMU, kuna watu hawapendi kabisa kusikia hilo neno.
Hela zimetoka kwa mabwana zenu kwa ajili ya kampeni itapendeza zaidi serikali izitaifishe [emoji23]Ndio maana CCM wanafeli!
Kulikuwa kuna haja gani ya kufunga account zao?Yaani unasimamisha shughuli za taasis kwa hisia tu kwamba unataka kujiridhisha na uhalali wa fedha wanazopata na malengo ya fedha hizo!Kipi kilipaswa kutangulia?Uchunguzi au kufunga account zao na kitutangazia?shameSometime transfers kama hizi hutumika katika utakatishaji pesa na kufund vikundi vya kigaidi.
Siyo jambo baya kuchunguza ila tu kwa nchi yetu ilipofikia itaonekana kama vile kuna rafu inataka kuchezwa.
Huna akili!Hela zimetoka kwa mabwana zenu kwa ajili ya kampeni itapendeza zaidi serikali izitaifishe [emoji23]
Mkuu huenda wana taarifa za uhakika kabisa, sema hizo ni lugha za kiintelijensia na kulinda diplomasia.Kulikuwa kuna haja gani ya kufunga account zao?Yaani unasimamisha shughuli za taasis kwa hisia tu kwamba unataka kujiridhisha na uhalali wa fedha wanazopata na malengo ya fedha hizo!Kipi kilipaswa kutangulia?Uchunguzi au kufunga account zao na kitutangazia?shame
Process huhusisha akaunti kufungwaKulikuwa kuna haja gani ya kufunga account zao?Yaani unasimamisha shughuli za taasis kwa hisia tu kwamba unataka kujiridhisha na uhalali wa fedha wanazopata na malengo ya fedha hizo!Kipi kilipaswa kutangulia?Uchunguzi au kufunga account zao na kitutangazia?shame