Achana nae huyo chokoNafikiri Kuna sehemu una tatizo kidogo,sio Bure.
Noko Ingekua Haina kikwazo hata kimoja halafu ukaja na hoja kama hizo ningekuona una uwezo wa kufikiria.
Lkn Noko Iko kwenye vikwazo kwa miaka mara mbili ya umri wako lkn imetoboa.huoni ni ajabu hilo?
Maadui wa NOko wanatafuta Kila mbinu kuiumiza ndio maana nao wameweka sheria Kali kujilinda ,hulioni hilo?
Nasikitika kua hili litakua jibu langu la mwisho maana Mimi Sio mtu wa ligi.
Julian Assange alikimbilia wapi na akarudishwa wapi?
Je Assange angekimbilia Urusi angerudishwa USA?
Snowden alikimbilia Urusi je amerudishwa USA?
ProveKwa kila raia 1 anayekimbia Marekani basi kuna raia 10,000 wanaokimbia Korea Kaskazini, na hawa ni raia wa kawaida tu, sio kama Snowden au Assange.
Kwa kila raia 1 anayekimbia Marekani basi kuna raia 10,000 wanaokimbia Korea Kaskazini, na hawa ni raia wa kawaida tu, sio kama Snowden au Assange.
Nafikiri Kuna sehemu una tatizo kidogo,sio Bure.
Noko Ingekua Haina kikwazo hata kimoja halafu ukaja na hoja kama hizo ningekuona una uwezo wa kufikiria.
Lkn Noko Iko kwenye vikwazo kwa miaka mara mbili ya umri wako lkn imetoboa.huoni ni ajabu hilo?
Maadui wa NOko wanatafuta Kila mbinu kuiumiza ndio maana nao wameweka sheria Kali kujilinda ,hulioni hilo?
Nasikitika kua hili litakua jibu langu la mwisho maana Mimi Sio mtu wa ligi.
Pwahahah!!! Kajamba nani utawaweza Noko. Hakuna mbumbumbu huko mdogo wangu.Tatizo la Korea ya Kiduku wala sio maadui wanaotaka kuidhuru kwa sababu mpaka wake mkubwa zaidi uko na China na Urusi kwa pamoja, tatizo la hiyo Korea hadi kuwafungia raia wake kwenye chungu ni ili wasiweze kujua maendeleo makubwa sana waliyopiga ndugu zao wa Korea Kusini kwa ushirikiano wa West tangu kusitishwa kwa vita kati yao mwaka 1953.
Ni kama vile dikteta Nikita Khrushchev wa Urusi alivyojenga ukuta kati ya Ujerumani Mashariki kuitenga na Magharibi enzi za USSR.
Marekani mwenyewe anagwaya unafhani NK ni ya kuchezea?Tatizo la Korea ya Kiduku wala sio maadui wanaotaka kuidhuru kwa sababu mpaka wake mkubwa zaidi uko na China na Urusi kwa pamoja, tatizo la hiyo Korea hadi kuwafungia raia wake kwenye chungu ni ili wasiweze kujua maendeleo makubwa sana waliyopiga ndugu zao wa Korea Kusini kwa ushirikiano wa West tangu kusitishwa kwa vita kati yao mwaka 1953.
Ni kama vile dikteta Nikita Khrushchev wa Urusi alivyojenga ukuta kati ya Ujerumani Mashariki kuitenga na Magharibi enzi za USSR.
Kabla ya Corona kwa mwaka huwa kuna defectors/watoroka nchi 3, 000 kutoka Korea ya Kiduku. Marekani kwa miaka mitatu unaweza kusikia mtoroka nchi mmoj tu kama Snowden au mwanajeshi aliyekuwa kwenye base ya Korea Kusini akatakiwa kuadhibiwa kwa utovu wa nidhamu.Prove
Tuangalizie na sisi kwenye hiyo chart tunashika nafasi ya ngapi...?
Ungetuwekea na magar yanayopita njian ili tuone movement za raia. Hao jamaa wapo jela ukiacha kisingizio cha propaganda. Haiwezekan nchi nzima inapiganiwa ili familia ya Kim iwe madarakan.
Wangekuwa na akili sana wasingukuwa wanaitegemea China kuwapa msaada wa Chakula, dawa na mafuta kila mara.Kwa kifupi Hawa watu Wana akili sana.
Niliwahi kusoma mahalo kua ndio wanaoongoza kwa IQ kubwa duniani.
Kama sijakosea lkn.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Marekani mwenyewe anagwaya unafhani NK ni ya kuchezea?
Wewe endelea kunywa mbege na kula watoto wa sinza afrikasana.
View attachment 2706266
Huko hakuna machinga mdogo wangu.Kwanini mitaa haina hekaheka za watu na magari jombaa
Ulishaona ulaya wanaweka habari za homeless kwenye vituo vyao vikubwa au umejitoa ufahamuNi kweli kwamba sehemu za mjini jamaa wameendelea sana. Ila kwa vijijini ambako HAIRUHUSIWI. NARUDIA TENA; HAIRUHUSIWI KABISA kupiga picha kuna umasikini mkubwa. Picha zinazopigwa ni za maeneo mazuri mazuri tu tena kwa maelekezo. Ukikutwa umepiga picha sehemu zile mbaya mbaya, unaweza hata kunyongwa.
Shezia zao zinasema: Kuwa mwangalifu sana unapopiga picha. Ni kinyume cha sheria kupiga picha kitu chochote isipokuwa tovuti maalum za watalii wa umma . Omba ruhusa kila mara kwa mwongozo wako wa Korea Kaskazini kabla ya kupiga picha. Korea Kaskazini ina sheria kali kuhusu kile unachoweza kuleta nchini.
achana na huyo timu upindeHuamini macho yako
Hata Harare ilisafishwa hivyo na dikteta MugabeHuko hakuna machinga mdogo wangu.