Ijue Korea Kaskazini kwa Undani (Known Details of North Korea)

Ijue Korea Kaskazini kwa Undani (Known Details of North Korea)

Nafikiri Kuna sehemu una tatizo kidogo,sio Bure.
Noko Ingekua Haina kikwazo hata kimoja halafu ukaja na hoja kama hizo ningekuona una uwezo wa kufikiria.
Lkn Noko Iko kwenye vikwazo kwa miaka mara mbili ya umri wako lkn imetoboa.huoni ni ajabu hilo?
Maadui wa NOko wanatafuta Kila mbinu kuiumiza ndio maana nao wameweka sheria Kali kujilinda ,hulioni hilo?

Nasikitika kua hili litakua jibu langu la mwisho maana Mimi Sio mtu wa ligi.
Achana nae huyo choko
 
Kwa kila raia 1 anayekimbia Marekani basi kuna raia 10,000 wanaokimbia Korea Kaskazini, na hawa ni raia wa kawaida tu, sio kama Snowden au Assange.
Julian Assange alikimbilia wapi na akarudishwa wapi?
Je Assange angekimbilia Urusi angerudishwa USA?

Snowden alikimbilia Urusi je amerudishwa USA?
 
Kwa kila raia 1 anayekimbia Marekani basi kuna raia 10,000 wanaokimbia Korea Kaskazini, na hawa ni raia wa kawaida tu, sio kama Snowden au Assange.
Screenshot_20230802-143001.png
 
Tatizo la Korea ya Kiduku wala sio maadui wanaotaka kuidhuru kwa sababu mpaka wake mkubwa zaidi uko na China na Urusi kwa pamoja, tatizo la hiyo Korea hadi kuwafungia raia wake kwenye chungu ni ili wasiweze kujua maendeleo makubwa sana waliyopiga ndugu zao wa Korea Kusini kwa ushirikiano wa West tangu kusitishwa kwa vita kati yao mwaka 1953.

Ni kama vile dikteta Nikita Khrushchev wa Urusi alivyojenga ukuta kati ya Ujerumani Mashariki kuitenga na Magharibi enzi za USSR.
Nafikiri Kuna sehemu una tatizo kidogo,sio Bure.
Noko Ingekua Haina kikwazo hata kimoja halafu ukaja na hoja kama hizo ningekuona una uwezo wa kufikiria.
Lkn Noko Iko kwenye vikwazo kwa miaka mara mbili ya umri wako lkn imetoboa.huoni ni ajabu hilo?
Maadui wa NOko wanatafuta Kila mbinu kuiumiza ndio maana nao wameweka sheria Kali kujilinda ,hulioni hilo?

Nasikitika kua hili litakua jibu langu la mwisho maana Mimi Sio mtu wa ligi.
 
Tatizo la Korea ya Kiduku wala sio maadui wanaotaka kuidhuru kwa sababu mpaka wake mkubwa zaidi uko na China na Urusi kwa pamoja, tatizo la hiyo Korea hadi kuwafungia raia wake kwenye chungu ni ili wasiweze kujua maendeleo makubwa sana waliyopiga ndugu zao wa Korea Kusini kwa ushirikiano wa West tangu kusitishwa kwa vita kati yao mwaka 1953.

Ni kama vile dikteta Nikita Khrushchev wa Urusi alivyojenga ukuta kati ya Ujerumani Mashariki kuitenga na Magharibi enzi za USSR.
Pwahahah!!! Kajamba nani utawaweza Noko. Hakuna mbumbumbu huko mdogo wangu.

Screenshot_20230802-143350.png
 
Tatizo la Korea ya Kiduku wala sio maadui wanaotaka kuidhuru kwa sababu mpaka wake mkubwa zaidi uko na China na Urusi kwa pamoja, tatizo la hiyo Korea hadi kuwafungia raia wake kwenye chungu ni ili wasiweze kujua maendeleo makubwa sana waliyopiga ndugu zao wa Korea Kusini kwa ushirikiano wa West tangu kusitishwa kwa vita kati yao mwaka 1953.

Ni kama vile dikteta Nikita Khrushchev wa Urusi alivyojenga ukuta kati ya Ujerumani Mashariki kuitenga na Magharibi enzi za USSR.
Marekani mwenyewe anagwaya unafhani NK ni ya kuchezea?

Wewe endelea kunywa mbege na kula watoto wa sinza afrikasana.

Screenshot_20230802-143951.png
 
Kabla ya Corona kwa mwaka huwa kuna defectors/watoroka nchi 3, 000 kutoka Korea ya Kiduku. Marekani kwa miaka mitatu unaweza kusikia mtoroka nchi mmoj tu kama Snowden au mwanajeshi aliyekuwa kwenye base ya Korea Kusini akatakiwa kuadhibiwa kwa utovu wa nidhamu.
 
Kwa kifupi Hawa watu Wana akili sana.
Niliwahi kusoma mahalo kua ndio wanaoongoza kwa IQ kubwa duniani.
Kama sijakosea lkn.
Wangekuwa na akili sana wasingukuwa wanaitegemea China kuwapa msaada wa Chakula, dawa na mafuta kila mara.

Akili walizo nazo kina Kiduku ni za kutengeneza mabomu tu ya kulipualipu baharini kila mwaka huku raia wake wakifa kwa njaa na umasikini uliotopea. Wenzao wa Korea Kusini sasa hivi wanatoa misaada hadi kwa nchi masikini kama ya kwako na zilizopo vitani kama Ukraine. Wanatengeneza bidhaa halisi za electronics zinazokamata soko la dunia kama Samsung na LG, gari kama za Hyundai n.k. Sio hizi picha picha zako unazookoteza mtandaoni na kuzojaza hapa.
 
Acha uongo picha nyingine ni animation na hapo ni centre tu puangyong ukisogea Kama km 50 tu waliobaki bora Kigoma
 
Ni kweli kwamba sehemu za mjini jamaa wameendelea sana. Ila kwa vijijini ambako HAIRUHUSIWI. NARUDIA TENA; HAIRUHUSIWI KABISA kupiga picha kuna umasikini mkubwa. Picha zinazopigwa ni za maeneo mazuri mazuri tu tena kwa maelekezo. Ukikutwa umepiga picha sehemu zile mbaya mbaya, unaweza hata kunyongwa.

Shezia zao zinasema: Kuwa mwangalifu sana unapopiga picha. Ni kinyume cha sheria kupiga picha kitu chochote isipokuwa tovuti maalum za watalii wa umma . Omba ruhusa kila mara kwa mwongozo wako wa Korea Kaskazini kabla ya kupiga picha. Korea Kaskazini ina sheria kali kuhusu kile unachoweza kuleta nchini.
Ulishaona ulaya wanaweka habari za homeless kwenye vituo vyao vikubwa au umejitoa ufahamu
 
Back
Top Bottom