Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Mim nmekaa na mtu hanisaidii chchte ndani hata kufua nguoz ake hawezi alikua analala sebuleni me naondoka namuacha anaamka sa tano. Bills ni kubwa kinyama maji nilipe 25 umeme elf 15.
Muda huo bado nikipika nyama kg moja nyingine nikiweka kweny kafrije kangu nakuta imedokolewa muda mwingine nampakulia mtoto chakula nakuta ety anaonja tena kwa mikono yake imekaa kama spanner.
Mungu anisamehe nlimtimua tu maan alinichosha kabisa nikinunua ety li jitu linakunywa maziwa ya mtoto ety anasema anapenda sana maziwa ya baridi
Ndugu zangu usikaribishe watu ni bora wakae huko huko kwa ndugu zao sijui wapi mim nmejifunza kabisa. Sitak aiseh.
Mim sa hiv sikwepeshi kabisa Bora nikae nadg angu akikosea namuelekeza basi maishae mengine yanasonga.
Mtu ukienda kwa mtu unatakiwa hata siku nyingine unanunua mkate ,unapenda mayai nunua,changia chochote au unapenda maziwa nunua watz wanapenda vya bure na unakuta mtu umeenda kumtembelea mtu hana kazi au anajitafutia na humchangii chochote ni kuongeza mzigo