Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hivi unategemea maombi kwenye kushinda au uwezo wa akina ukuta wa yeriko? Au yule striker mrefu kuliko, goli, ambaye haruki, mpira ukija tuu UWAAAAAAAA...!! goliii?Timu yangu ya mwisho iliyobaki kwenye mkeka wangu wa timu 25 ni simba iakiamua kuniua sawa siku ya Leo maombi yangu napeleka kwenye hii klabu ya simba sijui ilikuaje mpaka nikaiweka kwenye mkeka asiee maana siiamini maana hivi itatoboa kweli hii timu ya watani zangu
Sawa ngoja tuoneHivi unategemea maombi kwenye kushinda au uwezo wa akina ukuta wa yeriko? Au yule striker mrefu kuliko, goli, ambaye haruki, mpira ukija tuu UWAAAAAAAA...!! goliii?
Tushaona, hatuhitaji kungoja..!! 51mba wanalambwa leo..!!Sawa ngoja tuone
Sumba ndio timu gani??Azam 3 - 1 Sumba
Sawa kwani shida ipo wapi mbona unahasiraTushaona, hatuhitaji kungoja..!! 51mba wanalambwa leo..!!
Huyu anaonekana muongo muongoWewe kila siku ni timu moja tu inakua imebaki kwenye treni lako ili ushinde mamilioni
SawaWewe kila siku ni timu moja tu inakua imebaki kwenye treni lako ili ushinde mamilioni
Sawa Haina shidaHuyu anaonekana muongo muongo
Attention seekerHuyu anaonekana muongo muongo
Kafunga cashout mkuuTumekuzoea mbona cash out basi.
SawaAttention seeker
Sumba sc a.k.a 5imba a.k.a Kolouizdad a.k.a Nguruwe fc a.k.a deportivo de makolo a.k.a Mikia fc a.k.a Mbumbumbu fc a.k.a robo kilo fc a.k.a Ngada fc a.k.a paka fcSumba ndio timu gani??
uto bhana dah.
🤣🤣😂🤣Simba is leading hongera mzee
Mkeka umeuona? Huyu jamaa kaamua kuchangamsha kijiweshalom nimetizama naona hiyo pesa ni yako ndugu
nyoosha mikono na kupokea pesa sema POKEA PESA!!