Mkuu unalewa ukiwa na watoto wazuri wangapi?πTimu yangu ya mwisho iliyobaki kwenye mkeka wangu wa timu 25 ni simba iakiamua kuniua sawa siku ya Leo maombi yangu napeleka kwenye hii klabu ya simba sijui ilikuaje mpaka nikaiweka kwenye mkeka asiee maana siiamini maana hivi itatoboa kweli hii timu ya watani zangu
Nenda kea Gen_z wa Kenya mkuuNyuzi pendwa kwa Gen Z wa Bongo...hapa watakesha kwa comments ππ
Kwa PDidy utaenda weweApo ndipo ulipoharibu,ungekaa kimya mkeka huu ungekula Leo,ila kwa hivi Simba lazima aukalie leo
Jiwe limetua utosini π πNenda kea Gen_z wa Kenya mkuu
Masikini endelea kunijadili Mimi pesa imeshaingiaaaaaaaaaaMkeka umeuona? Huyu jamaa kaamua kuchangamsha kijiwe
Aisee muhindi kaumia vibaya sanaaΓ aaaaaaaAya sasa mnyama kashinda 46mil. Ushalamba
Endelea kunifuatilia Mimi 46 milion kwenye account nowHivi mpaka leo hujawaga Billionaire tu...?
Kweli Betting ni mzizi wa umaskini alooh.
Jumamos nitawajulishaaaaaaaaTunasherekea kiwanja kipi? Nilete pisi ngp?
Sawaaaaaaaa najua unaumiaJongo hiloo
Namba weka na jina linalotoka mkuuTuachie hata laki 2 basi wadau wako
Hahahaha π€£π€£π€£π€£π€£tajiriii huna baya ukifa hauozi tajiri..Leo wapi tajiri
Ndio aisee nimepita njia ngumu sanaaaaaaa mungu kajibuaya mkuu umeshinda ???
Sionyeshi na hiyo 50000 baki nayi kwangu sio pesa now ni takataka kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaoNyesha hiyo betslip apa nikurushie Tsh 50,000/= sasa hivi
Kweli mkuu simba ipo vizuriSIMBA kamwe haiwezi kukuangusha kamwe
Endelea kuumiaaaaaaaNyuzi pendwa kwa Gen Z wa Bongo...hapa watakesha kwa comments ππ
Kama 20 hivi hahahaha π€£π€£π€£π€£Mkuu unalewa ukiwa na watoto wazuri wangapi?π