Ikitokea ukapewa fursa ya kukutana na wewe mwenyewe wa miaka 10 nyuma. Je, utajishauri nini?

Ningejishauri hivi...

Jiamini kijana una uwezo mkubwa kuliko unavyojifikiria.

Walai tena ndugu zanguni ningeacha alama kwenye ulimwengu huu
 
usitombe mwanamke bila condom!!
Ukimwi n mbaya lakin si mbaya kuliko….
 
Nakumbuka field trip mzee alinipa laki 9 na niliitumia vibaya na akili zile zakitoto leo hii najuta, sikumbuki hata ziliishaje, maana nilikuwa nakaa bure, na kula bure😪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…