Ikitokea ukapewa fursa ya kukutana na wewe mwenyewe wa miaka 10 nyuma. Je, utajishauri nini?

Miaka 10 iloyopita hata chuo nilishamaliza, hakuna nlichokosea. Mi nlikosea kusoma Advance tu.
Sema ningejishauri kumuoa demu wangu wa utoto, huyu mwanamke alinipenda sana. Kiufupi mimi ndio nilimkataa, baada ya kumess up, mpaka leo bado anipenda ila ndio basi tena sitaweza kumuoa na sijutii.
 
Ningeanza kusoma Sana Vitabu na kukusanya nguvu za kiroho .

Nimegundua kutokusoma Vitabu ndo kulinifanya kuchelewa kujitambua maana nimekulia katika mikono migumu.

Nguvu za koroho kutokuwa na spiritual power imefanya kuchelewa kuwa na nguvu ya kuongoza mambo yangu mengi ya msingi.
 
Nyie ambao hamuoni umuhimu wa Advance labda ni combinations za arts sidhani kuna mtu wa science asione umuhimu wa Advance
 
Tumia vizuri muda ulionao sasa hivi,fanya unachokipenda na kinachokufurahisha nafsi yako,
Yaliyopita yameshapita hayawezi kurudi tena,

Baada ya miaka 10 kupita kuanzia leo, utakuja tena kujiuliza swali hili hili,

Sometimes u will never know the value of a moment until it becomes a memory.
 
Ebu kwanza tupige calculation kidogo
2024-10 = 2014
Daaah 2014 hapa Najishauri nini aiseeeeeeee..
πŸ€” πŸ€” πŸ€” Kidogo ningekua nayajua mashangazi ila wapi....
 
Hilo Jina hilo huwa ni la wanawake safi sana....
 
Kuacha pombe na uzinifu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…