SINDILA OLSOLA
Member
- May 20, 2024
- 9
- 7
Haukosei huyo mdada alinipenda sana tena sana Ila Sasa masikini yangu Mimi basi nilikuwa naambilika ni kujiona Mimi ndiye aluwatani kalipokuja kusema imetosha nililia mpaka kamasi Sasa ameolewa na wanapendana na kijamaa chake Kina kipara Kama Gamondi🙊😃Hilo Jina hilo huwa ni la wanawake safi sana....
Umenikumbusha mbali mno, dah....😭😭😭😭Haukosei huyo mdada alinipenda sana tena sana Ila Sasa masikini yangu Mimi basi nilikuwa naambilika ni kujiona Mimi ndiye aluwatani kalipokuja kusema imetosha nililia mpaka kamasi Sasa ameolewa na wanapendana na kijamaa chake Kina kipara Kama Gamondi🙊😃
Duh....Mi tungepigana mpaka kukuche. Kwa ufupi mimi ningeonekana nimepinda hata nyumbani nisingekanyaga ningelala kwa akina Joyce.
Yan viboko kabla ya maneno.Kwanza nitajicharaza viboko ndo mengine yaendelee
Pole ndugu ,ukimpata dada wa kuitwa Halima akashoboka oa hata Kama ni mke wa pili hawanaga baya hawa .Umenikumbusha mbali mno, dah....😭😭😭😭
Halima wangu mie....dah.
Ila mi sikujimwambafai....
Well,mie nimebahatika kuwa na Halima wawili...Pole ndugu ,ukimpata dada wa kuitwa Halima akashoboka oa hata Kama ni mke wa pili hawanaga baya hawa .
Nimebembeleza sana Ila nimeishia kuambiwa nitashitakiwa kwa bwana ake kipara ngoto🙊
Hongera sana ndugu ukiwachoka niite niwachukue wanipe mbegu halisi ya waafrikaWell,mie nimebahatika kuwa na Halima wawili...
Advance anakuwa na analytical skills kubwa diploma anafanya vitu kwa mazoea hao ni watu wawili tofautinimesoma PCM azania hapo, naongea nikijuacho, kijana akienda diploma DIT hapo si sawa na advance.
Binafsi nilisoma advance na ndio maana nikaona nisingeenda advance.
Nishaachwa mda.Hongera sana ndugu ukiwachoka niite niwachukue wanipe mbegu halisi ya waafrika
Binafsi, ningejishauri;Habari za Jumatatu wanajamii.Pia hongereni kwa pirika za kutafuta pesa za mahitaji yako.
Ninajua mpaka kufika katika umri ulionao kuna makosa kadhaa ushafanya na pengine ukawa unajutia.
Hapa nina swali fikirishi...
Eti,kama ikatokea ukapewa fursa ya kurudi miaka 10 au 15 nyuma na kukutana na wewe mwenyewe wa miaka hiyo kumi nyuma na ujipe ushauri, Je,utajishauri nini....?
Kwangu binafsi ,ningejishauri...
- Kuangaika kupata fursa na kujitutumia katika kuzitekeleza hata kama zitafeli.
- Kuondoa uoga kabisa katika kuanza maisha.
- Fursa haziishii Dar,nitoke na kwenda mikoani na hata ikitokea nje ya Tanzania.
- Kuwa karibu na watu wenye kuwaza maendeleo.
Tele ila sikumaliza chuo.Advance anakuwa na analytical skills kubwa diploma anafanya vitu kwa mazoea hao ni watu wawili tofauti
Wewe chuo umesoma kozi gani? (be honesty)