Ikiwa wewe ndiye Masikini zaidi kati ya ndugu zako, epuka mikusanyiko ya Kifamilia

Hii iende sambamba na wale waliooa kwenye familia zenye watoto wengi wa kike halafu ukute wewe ndio umezidiwa kipato na wenzako. Heshima huwa haipo ukweni, wanaopewa hadhi na heshima ni wale wenye hela, hii kitu inaudhi sana ukweni
Daahhh!!! Hii dharau mbaya sana..
Anyway. Mi ndio maana nilishajenga utamaduni wa kuwa adimu. Jata huko ukweni.
Siku nimetoa mahali, nilikuja kanyaga tena ukweni after 5 years na ni hapa hapa Dar.. tena napo iliua sababu ya msiba.
Ila wajukuu nilikua nawatuma kusalimia grands wao after sometimes in a year
 
Kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…