Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hakika hujakosea mkuuUsipojituma utatumika na kama hukutumia ujana wako kwa faida utakuwa na uzee wa hasara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika hujakosea mkuuUsipojituma utatumika na kama hukutumia ujana wako kwa faida utakuwa na uzee wa hasara
Matatizo yapo kila siku ,hakuna kitu sipendi kama mazoea na kujuana juana kama ndugu.Kuna mwaenzio huku alikuwa anakwepa kwepa ila alipopata matatizo alijua hajui.
Nenda hivohivo waujue uhalisia wako.
Mo energy? Unapewa hii 😂Na hawana muda wa kukuuliza unatumia kinywaji gan utashangaa tuu unatupiwa li mo energy uhangaike nalo na usijandanye useme hutumii utaambiwa unaleta fujo
Epuka kujifananisha kiuchumi na mtu mwingine.Hii iende sambamba na wale waliooa kwenye familia zenye watoto wengi wa kike halafu ukute wewe ndio umezidiwa kipato na wenzako. Heshima huwa haipo ukweni, wanaopewa hadhi na heshima ni wale wenye hela, hii kitu inaudhi sana ukweni
Kapasue kuni huko na hapo unaambiwa mdogo wako uliyemzidi umri lakini yeye kakuzidi fedha.• 😀😀, Kabisa, unaonekana huna faida yeyote ile,
• Mtu unafamilia yako, lakini unatumwa tumwa kama mtoto mdogo,
😬😬😬, Mkuu hii hapana Aise,Ishi maisha yako kivyako vyako wewe ..hata ukienda kwa mguu mbona gud tu!.?
Ndio maana wanakodi magari hao ,huku mjini kila njia inatumika wapate pesa...Wengi sasa hawaendi sio kama zamani ,mtu akijiona hana pesa akanyagi.nakumbuka siku nilihuduria kikao cha msiba kanda ya kaskazini mimi kama mkwe wife kanitambulisha kwa mjomba wake kila dakika mjomba ananiuliza umekuja na gari gani
ikabidi tu nimpotezee wao wanadhani kila anayemwoa binti yao ni tajiri
Tabia za watu wa Kilimanjaro hizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], kwamba unatupiwa li Mo energy ufe nalo hukoWhy Mo Energy lakini?
• 😁😁, Hata wakuachie hela, haiwezi kuzidi Tsh.7000/-Nimecheka mm aki tutafute hela ..vest,t-shirt hizo wameshindw kufua unaachiwa chafu wanakurushia utaskia unaambiwa utavaa hiyo ..hawakuachii hela eti
Ukikaa na wenzetu hasa hawa wazungu kuna kitu utajifunza ,Nachukia watu washamba na malimbukeni wanaotweza utu wa mtu kisa pesa
Ni jambo la kipuuzi sana na hufanywa na watu wasio na akili wala exposure na wengi wana insecurities zao nyingi sasa huwa wanaona kuficha hizo insecurities zao ni kutweza utu wa mtu
Na wengi ni hawa kajambanani unakuta ana vichenji vya kubadilisha mboga nae ana treat watu kama Jalala na kujiona multibillionaire , ni ukosefu wa akili