Ikiwa wewe ndiye Masikini zaidi kati ya ndugu zako, epuka mikusanyiko ya Kifamilia

nakumbuka siku nilihuduria kikao cha msiba kanda ya kaskazini mimi kama mkwe wife kanitambulisha kwa mjomba wake kila dakika mjomba ananiuliza umekuja na gari gani
ikabidi tu nimpotezee wao wanadhani kila anayemwoa binti yao ni tajiri
Wachaga hasa wa Machame wana mambo ya kijinga mno. Binti akipata mtu ataulizwa kwanza jamaa anafanya kazi gani au ana biashara gani. Katika wachaga wote hawa Machame ndo wanapenda hela kupitiliza. Ukioa mmachame maisha yako yanakuwa hatarini.
 
Wachaga hasa wa Machame wana mambo ya kijinga mno. Binti akipata mtu ataulizwa kwanza jamaa anafanya kazi gani au ana biashara gani. Katika wachaga wote hawa Machame ndo wanapenda hela kupitiliza. Ukioa mmachame maisha yako yanakuwa hatarini.

Ukioa mmachame maisha yako yanakuwa hatarini.
Maisha yanakuwa hatarini kiaje mkuu?
 
Hujayajua Maisha bado,kua uyaone.
• Miaka 40, ni parefu sana mkuu,

• Miaka hiyo, Hata wazazi wenyewe, watakuchoka kupita kiasi,( kwa sababu wamezeeka au hata nguvu za kukusaidia hawana)

• Miaka hiyo ukiwa bado upo nyumbani, akili inawaza wazazi wako wafe, ili umiliki nyumba, hakuna lingine.
 
Kawaida ya familia maskini kukutana kujadili saa nyingine mambo yasio na tija mimi sijawahi kaa nikawaza kujiogopa kisa fulani kwenye familia kanizidi kipato cha msingi nashiriki shughuli za kifamilia hayo mambo ya kudharauliana sijawahi ona kwenye familia yangu.

Afrika tunaabidu mambo ya ajabu sana unakut mtu haendi kwao kisa hana hela au gari ni ujinga tu
 

Afrika tunaabidu mambo ya ajabu sana unakut mtu haendi kwao kisa hana hela au gari ni ujinga tu
Nafsi mkuu, utakuta kwenye familia/ukoo vijana wadogo umewazidi umri, lakini kifedha wamekuacha mbali 😟, Moyo lazima uteseke kiasi fulani.
 
Kuna ule mtindo wa kuanzisha group la waliosoma shule fulani/classmates eti group la kuanzisha mfuko wa maendeleo, mara muanzishe kampuni fulani au mradi fulani wa kujipatia fedha kwa maendeleo. Mbaya zaidi wale wenye hela nyingi huona wenye vipato vidogo wanataka kuwapiga na mwisho gruoup hufa kifo cha mende. Kali zaidi ni wale tuliosoma shule fulani kuanzisha harambee ya kukarabati shule tuliosoma. Sasa hapa ex students watachanga nini na ajira hawana? Hiyo michango ya kukarabati shule wachange wenye ajira tena wenye super scale zinazofanana/karibiana. Wengine wenye vilaki ni kujiabisha tu bora usichange ondoka kwenye mpango huo
 
Tabia asilia za mtu mweusi.
1.Ujivuni
2.Ujuaji
3.Kejeli/Dharau
4.Wivu/Husda
5.Anasa

Tabia asilia za mzungu.
1.Upendo
2.Huruma
3.Kujitoa
4.Kusaidia wasiojiweza
5.Kujali zaidi utu.

NB: Mtu ukishamjua hakupi tabu.
 
Unajua Corona tu ilivyochachamaa Co's kibao zikafunga ofisi watu kibao wenye age ya 40's walirudisha mpira kwa kipa?.Huo Ni mfano mmoja tu, Maisha yana mambo mengi Sana.
 
Wachaga hasa wa Machame wana mambo ya kijinga mno. Binti akipata mtu ataulizwa kwanza jamaa anafanya kazi gani au ana biashara gani. Katika wachaga wote hawa Machame ndo wanapenda hela kupitiliza. Ukioa mmachame maisha yako yanakuwa hatarini.
Hii kitu ni kubwa kuliko kwa wamachame wana tabia hii kuliko wachagga wote, nashukuru mungu wakibosho hatuna hii.
 
Tabia asilia za mtu mweusi.
1.Ujivuni
2.Ujuaji
3.Kejeli/Dharau
4.Wivu/Husda
5.Anasa

Tabia asilia za mzungu.
1.Upendo
2.Huruma
3.Kujitoa
4.Kusaidia wasiojiweza
5.Kujali zaidi utu.

NB: Mtu ukishamjua hakupi tabu.
Umesahau tabia nyingine za wazungu hao hao.
1.Unyonyaji.
2.Uonevu hasa Kwa ngozi nyeusi.
3.Unafiki kutoa tabasamu fake we unajua upendo.
4.uchawi
😂😂😂
 
Bro,Atakaye shupaza shingo akapuuzi huu waraka kitachomkuta ni halali yake
 
Hii iende sambamba na wale waliooa kwenye familia zenye watoto wengi wa kike halafu ukute wewe ndio umezidiwa kipato na wenzako. Heshima huwa haipo ukweni, wanaopewa hadhi na heshima ni wale wenye hela, hii kitu inaudhi sana ukweni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…