Ikiwa wewe ndiye Masikini zaidi kati ya ndugu zako, epuka mikusanyiko ya Kifamilia

4. Umetambuaje mzungu mchawi wakati wenzio wanajua mzungu si mchawi bali anaenda na sayansi?
Nijibu tafadhali.
Mzungu mjanja sana,kaitawala akili ya mtu mweusi,yeye akiufanya mambo yake anaita sayansi,Mtu mweusi akiufanya mambo yake anaita uchawi na ushenzy na kukitangaza hicho ni kitu kibaya,,,na ndio maana Mungu ni mzungu na malaika wema wooote ni wazungu ila shetani na genge lake ni weusiiiiiii....Tafakari
 
Inategemea na aina ya familia zipo familia undugu na upendo baina yao hauunganishwi na pesa Bali misingi waliyowekewa upendana bila kujali kipato
Yeah familia kama hizo zipo mkuu, lakini ni Asilimia chache sana, Maana matajiri walio wengi hupenda sana kuabudiwa, Ili kuepuka hiki kikombe ni vizuri kusaka pesa tu.
 
• 😀😀, Wapo mkuu, wanasema uzi huu hauna maana,

• ila Ukiwa huna hela, Hata sehem unayokaa, mara utakuta mende wa kutosha, panya ndo usiseme, mijusi, yani kila aina ya wadudu wapo. 😬😬
😂😂😂Watakaobisha wabishe tu,ila huo ndio ukweli,jiweke pembeni maana ukiwa kwenye hiyo mikusanyiko au Vikao vya familia ukichangia point unaambiwa"FULANI TUNAOMBA UACHE FUJO, TAFADHALI KETI"unabaki kushangaa umefanya fujo Gani.?

Ikatokea hujamuona binamu yako Fulani ukaomba namba yake utasikia""NGOJA KWANZA NIMUULIZE"ukijibiwa hivyo jua wanaogopa usumbufu utaanza kuombaomba Hela..
 
Kwa makabila ya wachaga labda wao thamani ya mtu upimwa kwa pesa,kwa makabila mengine hawana shida hii wao upendana wote uwe nazo usiwe nazo sawa tu
Miaka inabadilika mkuu, na tabia pia zinabadilika, kwa hiyo tusitegemee mila zitabaki vile vile kama za mwanzo.
 
Mbinu za kivita hizi, zimekaa poa😊😊,
 
• 😀😀, Kabisa, unaonekana huna faida yeyote ile,
• Mtu unafamilia yako, lakini unatumwa tumwa kama mtoto mdogo,
Hata kama sina mia hunitumi kijinga unless ulenipita umri. Hata kama una hela zako na ni mdogo kwangu, nitakutuma tu. Hela ni zako na hazina msaada wowote kwangu, kwa hiyo tuheshimiane. Siwezi mtuma kaka au dada yangu hivyohovyo kisa hana hela kunishida.
 
Kwamba uKiwa na PESA ndo utapewa heshima.
Jamii ya Africa, Maisha ndo yapo hivyo, Kama huna hela, Hata kwenye mambo muhimu huwezi kuitwa,

Zaidi zaidi utasikia taarifa za juu juu tu. Maana hata wakikuita wanahisi Kabisa hakuna mchango utakao toa, zaidi ya kuwapiga vizinga tu.
 
😬😬😬, Wakaenda mbali zaidi, wakatengeneza na film ya yesu, Ili wazidi kutucheleweshea maendeleo Yetu.
 


Ikatokea hujamuona binamu yako Fulani ukaomba namba yake utasikia""NGOJA KWANZA NIMUULIZE"ukijibiwa hivyo jua wanaogopa usumbufu utaanza kuombaomba Hela.
• 🤣🤣🤣🤣, Dah, umetisha sana,

• hapo elewa Kabisa kwenye orodha ya watu muhimu wewe haupo Kabisa,
 
Yah sisi watu wa maandiko tunaita generation x yaani kizazi Cha siku za mwisho we uoni hata ndoa zilivyo sasa bila pesa hakuna ndoa
• Mkuu siyo utandawazi huo? 🤔

• Kwamba kuna siku za mwisho kweli hapa duniani ?, Siku bado zipo nyingi sana mkuu,
 
😀😀, unatumwa kijanja mkuu,

“Kanunue kitu fulani, alafu salio litakalo baki ni la kwako.. Hapo kama jua limewaka mfukoni, utaenda tu.
 
Safi sana mkuu wakazie wajifunze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…