Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Mzungu mjanja sana,kaitawala akili ya mtu mweusi,yeye akiufanya mambo yake anaita sayansi,Mtu mweusi akiufanya mambo yake anaita uchawi na ushenzy na kukitangaza hicho ni kitu kibaya,,,na ndio maana Mungu ni mzungu na malaika wema wooote ni wazungu ila shetani na genge lake ni weusiiiiiii....Tafakari4. Umetambuaje mzungu mchawi wakati wenzio wanajua mzungu si mchawi bali anaenda na sayansi?
Nijibu tafadhali.