Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
- Thread starter
- #141
Vijijini wapo kibao wanakaa kwao ,mjini ndio kuna ubepari ... Wengine huko kijijini wao na watoto wao wanalelewa na wazee wao kazi hawana ,maisha sio rahisi kwa wengine..
😬😬, mjini ni ngumu sana kuishi maisha kama ya bush, maana town kila kitu unanua, tofauti na bush wale ambao brain zao hazijakaa fresh, ni mwendo wa kuwapeleka shamba tu kulima.mjini ndio kuna ubepari ...