Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli ataonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
ha ha ha haPu pu puu pu puu puu, zilisikika risasi zaidi ya 30 maeneo ya Area D Dodoma siku ya pili baadae...
Dawa yako ni tozo tu, CCM sio ya kwako, wewe kwao ni pawn tu, umeona nafasi za ubunge wa EA, zimeenda wapi!? Watoto wa vigogo! Ambao walipomaliza vyuo tu, wakiwa kwenye 24yrs tu, wakapewa nafasi ubalozini, wewe unatembeza bahasha ya kaki.Wachawi akina Mbowe na genge lake la mabeberu walitumia huu mwanya kutaka kuichonganisha serikali na wananchi. Hakika lisu ataendelea kuwa msaliti
Mojawapo ya hotuba bora kabisa kutolewa na Mkuu wa Nchi.Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
Alikufa katika umri ambao wataalam tunaita 'late age" so hatukupoteza kitu.Liuaji makao yake ni jehanamu ya moto
Acha uwongo wako late age iko wapi hapo? Joe Biden kaingia State House ya USA akiwa 77, Trump yuko above 80 bado anataka kurudi White House, Raila alikuwa anagombea akiwa above 70.Alikufa katika umri ambao wataalam tunaita 'late age" so hatukupoteza kitu .
Jiwe liliishi umri mzuri na lilionesha tofauti ya uswahili na u-mkoani🤣🤣
Nafasi aliyoishika kuna watu kizazi chake na kizazi kamwe hawatoishika wataishia tu kuwa na vijikadi vya chama na kutumika kama karatasi.
Rest in peace , John Pombe Magufuli
Kwani angetaka kumuua si angemmaliza tu au unadhani kipi kilishindikana kummalizia Lissu baada ya kutoka hai kwenye lile shambulizi?Mbona kafa yeye huyo mshenzi wa kudeal na wasaliti?
Kwa ulivyoandika, inamaana angetuma watu wakamuue hospitali? Unaona ilikua rahisi hivyo?Kwani angetaka kumuuwa si angemmaliza tu au unadhani kipi kilushindikana kummalizia Lissu baada ya kutoka hai kwenye lile shambulizi?
Kwani angetaka kumuuwa si angemmaliza tu au unadhani kipi kilushindikana kummalizia Lissu baada ya kutoka hai kwenye lile shambulizi?