Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Alimnyoosha vizuri!Mungu FUNDI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimnyoosha vizuri!Mungu FUNDI
Usaliti wa TAL ulikuwa ni upi?Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli at aonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
Too much movieswamgenijumuisha Mimi wakati wanaenda kumlambisha Shaba nisingekosea.
tuko vitani lisariti linajitia ujuaji wa kuijiona Lina akili sana piga Shaba ya pumbu au kichwa huko.
na ndo maana linaogopa kurudi linajua dhambi lililozifanya.
idiot
Huyu mzee alikuwa kama shetani.Hii kauli aliyoitoa Magufuli kumwambia Spika awatimue wasaliti bungeni ili wakiwa nje washughulikiwe nae, inaonesha hapa ndipo polisi wetu walipotakiwa kuanzia uchunguzi wao dhidi ya shambulio la Lissu, ajabu polisi bado wanamsubiri Lissu arudi ili wamfanyie mahojiano.
Maneno mengi aliyozungumza Magufuli kwenye hiyo video yana viashiria vingi vya mtu aliyetaka kulipa kisasi, mfano anapomwambia Spika; "watoe huku nje tuwashughulikie, kwa sababu wakiwa kule bungeni wana immunity, wanaweza kuzungumza chochote".
Anaendelea kusema; "hatuwezi kuwa vitani, halafu tukiwa mstari wa mbele, anajitokeza mmoja wetu na kuanza kuwashambulia askari wetu, huyu tuta deal nae; bora unyamaze kimya, au ukalale".
Ilikuwa tarehe 7 /09/2017 na kwa mara ya kwanza Makonda hakuwepo hapo alionekana jioni Morogoro akirudi DarNi miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
Wewe unajulikana kwamba hizi ndio thread zako za kila siku....hivi taifa halina agenda zingine za kujadili, mpaka kila siku utulalamikie kwamba Magufuli alikupiga kwenye mshono? Kwamba ulipapaswa makalio? Shenz kabisa...kila uchawao Magufuli alikufanya hivi...mnakera sanaHalafu kuna wale watetezi wa DIKTETA wanakuambia eti Magufuli anachafuliwa? Unamchafuaje mwehu kama huyu anayetangaza kwenye mkutano wa hadhara kuwa "msaliti" huuawa na few hours jaribio la kumuua Lissu linafanyika.
Isitoshe kusema ukimpangia kumdhuru mtu mwema kama Lissu, Shetani anakuingia anakuacha uropoke kama alivyoropoka Magufuli ili tupate ushahidi. Mungu hakupenda adhma mbaya ambayo Magufuli alikuwa nayo dhidi ya Lissu kwa vile Lissu ndiye mtetezi wa kweli wa raslimali za madini tangu miaka ya 2000 wakati wa Mkapa akiwatetea wachimbaji wa Tarime na wakati akiwa Mbunge kipindi chote cha Kikwette akiwa msemaji wa Kambi ya upinzani kwenye sekta ya madini. Wakati huo Magufuli alikuwa kimya kwenye Kambi ya CCM ambapo Lissu na upinzania walikuwa wanapambana na Serikali bungeni hadi kutoka nje ya Bunge kukataa kuwa rubber stamp ya Sheria mbaya za madini.
Mungu asingeruhusu dhuluma kama hii itokee kwa Lissu hivyo, Magufuli akashindwa kumuua na hatimaye akafa yeye Machi 17, 2021.
Hata kama huamini Mungu, kwenye hili tukio la Lissu na Magufuli Mungu alisima katikati kama alivyosimama dhidi ya Nebukadineza alipotaka kuwadhuru akina Nabii Daniel na hawa akina Meshack, Abdenengo na Shadrack (Danieli 1-3). Muacheni Mungu aitwe Mungu
Unabisha kwa kutumia negative sio weledi mkuu. Hiyo age ya Magu kwa huku kwetu ni kama late age tuu kwakuwa hawa wazee wetu sio kama hao uliowataja.Acha uwongo wako late age iko wapi hapo? Joe Biden kaingia State House ya ISA akiwa 77, Trump yuko above 80 bado anataka kurudi White House, Raila alikuwa anagombea akiwa above 70.
Magufuli hawezi ku REST IN PEACE kama unavyotaka kwa vile yeye mwenyewe aliiba uchaguzi wote wa 2020 na kuweka wabunge wake ambao alitaka wake wampitishe kubadili Katiba na kuondoa ukomo wa utawala pale mwaka 2025 ili aendelee kutawala. Mungu akatenda tulichotaka Watanzania tulio wengi kwa kumpekea Jehanam
Angetaka mara ngapi? Si alitaka na akashindwa. Kudra za Mungu huwezi kuzishinda.Kwani angetaka kumuuwa si angemmaliza tu au unadhani kipi kilushindikana kummalizia Lissu baada ya kutoka hai kwenye lile shambulizi?
Alimsaliti mama yako?Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli at aonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
Siku ya pili baadaye au masaa mawili baadayePu pu puu pu puu puu, zilisikika risasi zaidi ya 30 maeneo ya Area D Dodoma siku ya pili baadae...
Unafikiri kwa nini alipelekwa Kenya na baadae Belgium? Ingekuwa Muhimbili angefanya finishingKama Magufuli aliweza kumshambulia Lissu katika kipindi hicho bila kuhofia kujulikana kwamba atakuwa ni yeye sasa ni sababu ipi iliyofanya asimmalizie baada ya kujulikana Lissu hakufa ni kwamba aliogopa nini ambacho hakikiogopa mwanzo?
😆😆 Na hiki ndicho kinamtesa SSH, amewaachia wanaropoka kila tumbili anaropoka..Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
Matokeo yake yeye ndiye kaondoka nchi ipo na hao aliotaka awashughulike bado wapo.Tukanyage vizuri ardhi ya muumba.Hii kauli aliyoitoa Magufuli kumwambia Spika awatimue wasaliti bungeni ili wakiwa nje washughulikiwe nae, inaonesha hapa ndipo polisi wetu walipotakiwa kuanzia uchunguzi wao dhidi ya shambulio la Lissu, ajabu polisi bado wanamsubiri Lissu arudi ili wamfanyie mahojiano.
Maneno mengi aliyozungumza Magufuli kwenye hiyo video yana viashiria vingi vya mtu aliyetaka kulipa kisasi, mfano anapomwambia Spika; "watoe huku nje tuwashughulikie, kwa sababu wakiwa kule bungeni wana immunity, wanaweza kuzungumza chochote".
Anaendelea kusema; "hatuwezi kuwa vitani, halafu tukiwa mstari wa mbele, anajitokeza mmoja wetu na kuanza kuwashambulia askari wetu, huyu tuta deal nae; bora unyamaze kimya, au ukalale".