love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
wafuasi wa chadema wamesahau kama huyu ndiye aliyehojiwa na bbc na kusema Mbowe ni gaidiMungu wa mbinguni ni mwema!
Akina Swila na wale waliomnyima chakula Mbowe kwa miezi 5 wakiona hii picha sijui hata wanawazaje!
Hi bado, mpaka hangaya aamueKaribu Katiba Mpya Nchini Tanzania
🤣🤣🤣Huna hoja , kapuku mkubwa we , sasa subiri kuambiwa kilichoongelewa , ni lazima ukimbie JF .
Rais Samia kamuomba aende ikulu wayamalize.Huyu baba ilibidi apumzike yaani katoka leo safari Ikulu
Una uhakika alikuwa analala keko? Make your mind work.Huyu baba ilibidi apumzike yaani katoka leo safari Ikulu
Hama chama 2025 Simiyu majimbo yote Chadema.....samaga nkoi YASHILAGANa walikuwa hawamlishi dah😭😭😭
Wazee wa mama anaupiga mwingi na kuwakomoa mataga na sukuma gang mmerudi kwa kasi.Siasa za chuki na mauaji aliziendekeza yule mjalaana aliyetangulia kuzimu.
Haowezekana kujipa jina takatifu namna hiyo hapa JF. Chochote cha maana au cha kipuuzi utakachopost kitakuwa associated na hii ID yako. So sad.Samahani sana Mkuu, Nisamehe lakini Hili jina nalipenda sana. Na simaanishi ndilo jina nililojipachika, La hasha. I Praise Him
Wenzako wako ikulu wanakula bata wewe uko JF unagugumia maumivu.Ndembendembeee....chaliiiiiii
Baada ya Mwenyezi Mungu iogope serikali......
Hata kama ila ninachojua alikuwa mbali na familia yake kwa miezi 6Una uhakika alikuwa analala keko? Make your mind work.
Au wajisalimishe!Waliokalia viti si vyao huko Mjengoni waanze KUFUNGASHA
Hivi gaidi anaweza kupeana mkono na Rais au kualikwa Ikulu kweliwafuasi wa chadema wamesahau kama huyu ndiye aliyehojiwa na bbc na kusema Mbowe ni gaidi
na wenzake watatu washafungwa.
Mama anaupiga mwingi ngoja tuone hatima yake.
Ukisikia anatafuta kudumu nishtue Pliz Nipo hapa hapa,anastahihili sana🤔Naongezea ni Mwanaume mwenye Uwanaume ndani yake