Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Huna hoja , kapuku mkubwa we , sasa subiri kuambiwa kilichoongelewa , ni lazima ukimbie JF .
🤣🤣🤣
Makapuku ni wale misukure wanaochangishwa fedha na CHAMA ili wenzao wazitafune....

Nakukumbusha tu MAHAKAMA bado zipo na rumande hazina likizo.....🤣
 
Siasa za chuki na mauaji aliziendekeza yule mjalaana aliyetangulia kuzimu.
Wazee wa mama anaupiga mwingi na kuwakomoa mataga na sukuma gang mmerudi kwa kasi.
Ngoja atoe boko tena muanze kulia lia.. huwa mnapenda kushangilia vitu vidogo nyumbu bhana.
 
Samahani sana Mkuu, Nisamehe lakini Hili jina nalipenda sana. Na simaanishi ndilo jina nililojipachika, La hasha. I Praise Him
Haowezekana kujipa jina takatifu namna hiyo hapa JF. Chochote cha maana au cha kipuuzi utakachopost kitakuwa associated na hii ID yako. So sad.

Usilitaje bure jina la BWANA hatamhesabiwa kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure
 
Wakati Mbowe anakamatwa Sikuwa na Ghetto. Ametoka nina Ghetto lenye kila kitu ndani.
Pole sana Kamanda. Umepotezewa Muda.
IMG_20220222_005405_324.jpg
IMG_20220222_005328_078.jpg
 
Ngoja niisikilizie upya interview ya Rais Samia BBC
 
Back
Top Bottom