Kikosi kazi kilipendekeza mchakato wa katiba uanze baada ya uchaguzi wa 2025.Nikikumbuka zile agenda za baraza kuu la Chadema tarehe 11, Katiba Mpya iko pale, naamini hata kwenye akili ya Mbowe hapo kikaoni ipo pia.
Keki ya taifa tamu lazima wanune,kula full tenki saizi si haba (kidding) ....... Mbowe hana njaa hizo ....ZITO NA LIPUMBA watanuna!
Huyu anawahitaji sana CHADEMA wakati huu, kuliko CHADEMA wanavyomhitaji yeye.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.
View attachment 2218354
View attachment 2218392
Duh.Mzee Mboe kapaka piko, uchaguzi wa 2025 atapaka lipstick
Huyo Mwamba atakuwa anafanya kosa la karne akikubaliana na jambo kama hilo.Kikosi kazi kilipendekeza mchakato wa katiba uanze baada ya uchaguzi wa 2025.
Huenda mwamba naye ameridhia hilo, ndio maana kelele zake za kudai katiba zimekwisha.
Haha, kapewa konyagi kubadilisha akili.Kapewa kakongagi kumbe mbowe ni mzalendo wa kutukuza vinywaji vya tz
Mama anataka mbowe apeleke majina mapya viti maalum bungeniSijaelewa
Yes political stability very importantKuna watu wanaumia...
Lakini tufahamu kuwa Royal Tour itaendelea kuzindua, kufungua mengi na kuirejesha Tanzania kwenye ustaarabu wa karne ya 21
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujui Jambo ndio maana hufwatilii fwatilia Jambo ndio usemaTangu atoke jela, sijasikia kongamano la katiba mpya tena. Nasikia tu vimaneno maneno kuhusu katiba mpya huku mwenye mitandao. Hivi vimaneno vya kwenye mitandao vinatosha kweli kutuletea katiba mpya?
Babu Duni kashaonana na Mama tokea Tarehe 5 alienda kujitambulishaHata Membe leo amekuwa Ikulu ,, kabla ya Ijumaa tumepanga Zitto naye aonane na Mama !!
Mzungumzo haya Mama amemwambia Mbowe kwamba wanayafanyia kazi mapendekezo yao Lakin pia wamegusia Suala la COVID 19 Bungeni
Pia kuna mtu anakula kitengo soon
Mamkubwa shikamooMbowe ni CCM Full stop mtanielewa 2035 !!
Nilisema Mrema ni CCM mwaka 1996 watu wakanijia juu:
Nikaandika hapa kwamba Dr SLAA ni CCM ilikuwa mwaka 2009 na kadi yake ilikuwa imelipiwa hadi 2020
Hawa wote wako Upinzani na wanaalipwa na serikali
Wa mtaani ndo utanibishia….
Britanicca
Huyu huku upo nyuma ya Muda SanaIngekuwa Zitto sasa! Angesemwa wiki nzima! Hii nchi hakuna upinzani.
Acha uongo ina wauma kweli kweli kwasababu Zitto ni CCM ameshindwa kufanya Kazi yenuMbowe ni CCM Full stop mtanielewa 2035 !!
Nilisema Mrema ni CCM mwaka 1996 watu wakanijia juu:
Nikaandika hapa kwamba Dr SLAA ni CCM ilikuwa mwaka 2009 na kadi yake ilikuwa imelipiwa hadi 2020
Hawa wote wako Upinzani na wanaalipwa na serikali
Wa mtaani ndo utanibishia….
Britanicca
Tayari ni Tajiri kabla wewe hujazaliwa!!.. Mwenzako alikua anafanya kazi BOT wewe hata wazazi wako walikua hawajakutana!!Mbowe sasa hivi atakuwa tajiri mkubwa