mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo 10 Aprili, 2021 amekutana na Dkt. Amina Mohammed, ambaye ni Waziri wa Michezo, Utamaduni na Urithi wa KenyaMjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Muigai Kenyatta Ikulu Jijini Dar es Salaam.
View attachment 1748346
View attachment 1748347
View attachment 1748348 Take care mama! Isije kuwa ni wito Wa mabeberu via kenya! Ila Rais Kenyatta ni mtu mzuri! Ila wasimlazimishe mama kwenda huko akiwa amevaa barakoa!