Hunijui sikujui na wewe upo humu JF kwa ajili ya propaganda kusifia sifia. Kuna Member anaitwa Barubaru ni Dr wa darasani sio za honorable hizo. Nilishawahi kuonana maye na namba yake bado iko PM. Tofauti za kifikira na mawazo sio uadui. Na nyinyi CCM wa hovyo hovyo kama wewe mtu akiwa kinyume na mawazo yako au itikadi tayari ashakuwa adui mpaka kwenye maisha ya mtaani. Huo sio mpango. Wewe humu JF bado kinda sana. Na hii JF ya sasa hivi imepoa. Usibishane na watu wewe endelea na itikadi zako tu.Muongo sana wewe
IGP atoka akibubujikwa machozi kwa upendo alioonyeshwa na mamaNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.
Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Tangu lini nikawa Chadema? Mimi CCM original. Siyo CCM Mafia na GengeNdivyo mnavyofundishana huko chadema?
CCM ni moja tuTangu lini nikawa Chadema? Mimi CCM original. Siyo CCM Mafia na Genge
Wewe utaishi milele yoteUtakufa wewe
Wewe ni CCM genge hasa, wa Msimu- 2005 - 2015 CCM Genge.CCM ni moja tu
Mwingine wowote ni ujinga tu.
Hapa siyo Tunisia na wala sisi siyo watunisia. Kama unajiamini nimeshakwambia kuwa ingia barabarani uandamane halafu uje hapa jukwaani kusimulia.π€£π€£π€£π€£
Tatizo lako unachokiandika hukielewi na unajiandikia tu. Unakumbuka lile tukio la Tunisia mwaka 2011 ? Vyombo vya dola vilifanya nini? Acha kuwa muoga na mtumwa wa akili yako. Wewe umeumbwa na Mungu na maisha yako Mungu ndio anayejua kwanini leo hii maisha yako umeyafanya yaendeshwe na mtu ???
Kama kawaida jumatatu mbona huniaminiHapa siyo Tunisia na wala sisi siyo watunisia. Kama unajiamini nimeshakwambia kuwa ingia barabarani uandamane halafu uje hapa jukwaani kusimulia.
Nyie mnajua kitu kimoja tu. Kuwazuia Chadema milichosahau ni kuwa nchi imeoza kila sehemu, hakuna Kilicho bora wala siyo Jeshi wala la TISS. Tukitaka kufanya yetu ni rahisi kuliko ujuavyo. Tunaingia hadi ndani na tunatoka tupendavyoHapa siyo Tunisia na wala sisi siyo watunisia. Kama unajiamini nimeshakwambia kuwa ingia barabarani uandamane halafu uje hapa jukwaani kusimulia.
πππKama kawaida jumatatu mbona huniamini
Wewe endelea kuropoka tu kama mlevi wa gongoNyie mnajua kitu kimoja tu. Kuwazuia Chadema milichosahau ni kuwa nchi imeoza kila sehemu, hakuna Kilicho bora wala siyo Jeshi wala la TISS. Tukitaka kufanya yetu ni rahisi kuliko ujuavyo. Tunaingia hadi ndani na tunatoka tupendavyo
Nitaishi kwa kadri ya mipango na mapenzi ya Mwenyezi Mungu.Wewe utaishi milele yote
Hao Polisi ni Wanyonyaji sana Mwanangu π€£π€£π€£πππ
Muulize Bon yai aliyejifanya mbabe lakini Mwisho wa siku alikamatwa na kutupwa kwenye defender na kubakia ametulia tuli kama kuku aliyeloa.Hao Polisi ni Wanyonyaji sana Mwanangu π€£π€£π€£
Ninataka niwaburuze mbele za haki
Endelea kulamba viatu tu ila usitupigie kelele. Sasa hapa umeandika nini? Nini ujumbe wa kikao chenyewe? Kama hakujua wameongelea nini, taarifa yako kwetu ina umuhimu gani??Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.
Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Wala usipaniki ndugu yangu.wewe kaa kwa kutulia na endelea kunifuatilia bila kuchoka wala kukaa mbali na jukwaa hili.Endelea kulamba viatu tu ila usitupigie kelele. Sasa hapa umeandika nini? Nini ujumbe wa kikao chenyewe? Kama hakujua wameongelea nini, taarifa yako kwetu ina umuhimu gani??
Uandishi wa kitoto kabisa!!!
Hizo zote porojo tu.Wewe ni CCM genge hasa, wa Msimu- 2005 - 2015 CCM Genge.
2021 - sasa - CCM Genge
Wewe wa MSimu you are not genuine! Motivation na Genge Allah