Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Muongo sana wewe
Hunijui sikujui na wewe upo humu JF kwa ajili ya propaganda kusifia sifia. Kuna Member anaitwa Barubaru ni Dr wa darasani sio za honorable hizo. Nilishawahi kuonana maye na namba yake bado iko PM. Tofauti za kifikira na mawazo sio uadui. Na nyinyi CCM wa hovyo hovyo kama wewe mtu akiwa kinyume na mawazo yako au itikadi tayari ashakuwa adui mpaka kwenye maisha ya mtaani. Huo sio mpango. Wewe humu JF bado kinda sana. Na hii JF ya sasa hivi imepoa. Usibishane na watu wewe endelea na itikadi zako tu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.

Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo Hayo

View attachment 3101186

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
IGP atoka akibubujikwa machozi kwa upendo alioonyeshwa na mama
 
Lazima tuandamane J3 iwe jua iwe mvua mpaka kieleweke,na safari hii hata Mbowe akisema tusitishe hatutamuelewa kama wameamua kutuua wacha watuue tu kwani hata bila maandamano kufa tutakufa tu,ila ndiyo wajue damu yetu itakuwa juu ya vichwa vyao na Tanzania haitakuwa ile tena damu yetu ndiyo itakuwa ukombozi wa kumuondoa mkoloni mweusi. ALUTA CONTINUA.
 
Kufuatia pressure kubwa kutoka CHADEMA chama cha siasa kinachopaza sauti kwa niaba ya raia wasiokuwa na sauti na kuaminiwa sana na wananchi, hili la kutoka maktaba hapa chini linaweza kutokea

Toka maktaba:

1726849092384.png
 
🤣🤣🤣🤣
Tatizo lako unachokiandika hukielewi na unajiandikia tu. Unakumbuka lile tukio la Tunisia mwaka 2011 ? Vyombo vya dola vilifanya nini? Acha kuwa muoga na mtumwa wa akili yako. Wewe umeumbwa na Mungu na maisha yako Mungu ndio anayejua kwanini leo hii maisha yako umeyafanya yaendeshwe na mtu ???
Hapa siyo Tunisia na wala sisi siyo watunisia. Kama unajiamini nimeshakwambia kuwa ingia barabarani uandamane halafu uje hapa jukwaani kusimulia.
 
Hapa siyo Tunisia na wala sisi siyo watunisia. Kama unajiamini nimeshakwambia kuwa ingia barabarani uandamane halafu uje hapa jukwaani kusimulia.
Nyie mnajua kitu kimoja tu. Kuwazuia Chadema milichosahau ni kuwa nchi imeoza kila sehemu, hakuna Kilicho bora wala siyo Jeshi wala la TISS. Tukitaka kufanya yetu ni rahisi kuliko ujuavyo. Tunaingia hadi ndani na tunatoka tupendavyo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.

Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo Hayo

View attachment 3101186

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Endelea kulamba viatu tu ila usitupigie kelele. Sasa hapa umeandika nini? Nini ujumbe wa kikao chenyewe? Kama hakujua wameongelea nini, taarifa yako kwetu ina umuhimu gani??
Uandishi wa kitoto kabisa!!!
 
Endelea kulamba viatu tu ila usitupigie kelele. Sasa hapa umeandika nini? Nini ujumbe wa kikao chenyewe? Kama hakujua wameongelea nini, taarifa yako kwetu ina umuhimu gani??
Uandishi wa kitoto kabisa!!!
Wala usipaniki ndugu yangu.wewe kaa kwa kutulia na endelea kunifuatilia bila kuchoka wala kukaa mbali na jukwaa hili.
 
Back
Top Bottom