Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Bila kukinukisha...CCM hawatakaa waelewe kwamba ni wepesi kama unyoya!
Nape, Dc Longido na Poti wote wanakiri michezo yao, frankly sion haja na mantiki ya elections, ni kuingia road kesho na iwe bila kukoma!
Alafu watachkua maamuzi ya sisi mabosi zao, sio interest zao za kijambazi jambazi!
 
Peleka ujinga wako huko. nenda uingie barabarani na familia yako.
 
Ninachokiona, atatafutwa mtekaji mmoja wa kafara atawekwa hadharani halafu basii..!!
 
Kama umepaniki na una hasira basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile na hakuna ambaye atasikitika😀😀😀
Nipanic wakati na enjoy maisha. Wewe jifanye ni mmoja wao tu lakini elewa kuwa huyo unayemshobokea hata akitoka madarakani anapewa ulinzi hadi mwisho wa uhai wake,kazi kwako na umeshaji expose kwa kutaka sifa. Kuwa na kiasi kwani hata hao beneficiaries wa mfumo hawashoboki kama wewe. Shauri yako kuwa na kiasi dunia duara hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…