Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao tunawahurumia tu, lakini wafaidike na mradi huu mkubwa.Bavicha hawatachangia huu uzi
Wange ombea demokurasia na utawala wa sheria hayo yote yatakuja tu.....imagine mtu anahirisha sherehe za uhuru lakini anafanya hafra za kuweka saini miradi mbarimbari kila siku na anaalika viongozi wengi what is the logic behind?Inatokea Tanzania pekee
Nchi iliyobarikiwa viwonder kuliko zote africa
Wange ombea demokurasia na utawala wa sheria hayo yote yatakuja tu.....imagine mtu anahirisha sherehe za uhuru lakini anafanya hafra za kuweka saini miradi mbarimbari kila siku na anaalika viongozi wengi what is the logic behind?
Kwenye miradi ya gesi tuliletewa maandishi mazuri kuliko hili lakoMradi wa umeme wa Stieglers Gorge utaipaisha Tanzania ya viwanda kwa kiwango ambacho si rahisi kuona hivi sasa.
Lakini ni kwa kiwango kikubwa.
Mradi ukikamilika Tanzaniabutakuwa imeongeza 2100MW katika gridi ya Taifa.
Hapa na mimi nitatembea kifua mbele, kama atuhimizavyo mh. Magufuli.
Sasa miradi kama ya kuchenjua madini itawezekana kutekelezwa nchini.
Mfano tu, Akosombo Dam huko Ghana ina installed capacity ya 1038MW(NUSU ya stiegler), lakini Ghana ilifanikiwa kuwa na moja ya smelter kubwa Afrika ya kuchenjua Aluminium.
Hapa nasema, Mh John Pombe Magufuli kalamba dume.
Yule jamaa si alisema, changanya na za kwako?Kwenye miradi ya gesi tuliletewa maandishi mazuri kuliko hili lako
Naunga mkono hoja' %miaMradi wa umeme wa Stieglers Gorge utaipaisha Tanzania ya viwanda kwa kiwango ambacho si rahisi kuona hivi sasa.
Lakini ni kwa kiwango kikubwa.
Mradi ukikamilika Tanzaniabutakuwa imeongeza 2100MW katika gridi ya Taifa.
Hapa na mimi nitatembea kifua mbele, kama atuhimizavyo mh. Magufuli.
Sasa miradi kama ya kuchenjua madini itawezekana kutekelezwa nchini.
Mfano tu, Akosombo Dam huko Ghana ina installed capacity ya 1038MW(NUSU ya stiegler), lakini Ghana ilifanikiwa kuwa na moja ya smelter kubwa Afrika ya kuchenjua Aluminium.
Hapa nasema, Mh John Pombe Magufuli kalamba dume.
Ningependa sana CCM na Chadema kila moja iunde tumu ya mpira wa miguu. Ningependa sana kushuhudia nini kitakachotokea pale timu moja itakapofungwa na nyingine. Maana Siasa za nchi hii utasikia chadema chadema utadhani hakuna vyama vingine vya siasa.Ngoja CHADEMA waamke
Hakamuwezi Kakobe...Hahahahaaa kamaa kanaconfidemce sana hako.....sjui ni sababu ya mkwanja kalionao bank ama vp
Ujiandae kukatwa kwenye luku hadi hiyo hela ya watu irudi.Mradi wa umeme wa Stieglers Gorge utaipaisha Tanzania ya viwanda kwa kiwango ambacho si rahisi kuona hivi sasa.
Lakini ni kwa kiwango kikubwa.
Mradi ukikamilika Tanzaniabutakuwa imeongeza 2100MW katika gridi ya Taifa.
Hapa na mimi nitatembea kifua mbele, kama atuhimizavyo mh. Magufuli.
Sasa miradi kama ya kuchenjua madini itawezekana kutekelezwa nchini.
Mfano tu, Akosombo Dam huko Ghana ina installed capacity ya 1038MW(NUSU ya stiegler), lakini Ghana ilifanikiwa kuwa na moja ya smelter kubwa Afrika ya kuchenjua Aluminium.
Hapa nasema, Mh John Pombe Magufuli kalamba dume.