IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

Capture.JPG
Capture1.JPG
Capture2.JPG
Capture3.JPG
Capture3.JPG
 
Inatokea Tanzania pekee

Nchi iliyobarikiwa viwonder kuliko zote africa
Wange ombea demokurasia na utawala wa sheria hayo yote yatakuja tu.....imagine mtu anahirisha sherehe za uhuru lakini anafanya hafra za kuweka saini miradi mbarimbari kila siku na anaalika viongozi wengi what is the logic behind?
 
Yani.. Kuna ngombe bado wamelala na ndo wanaturudisha nyuma
Wakiamka nguvu itaongezeka nchi itakombolewa
Wange ombea demokurasia na utawala wa sheria hayo yote yatakuja tu.....imagine mtu anahirisha sherehe za uhuru lakini anafanya hafra za kuweka saini miradi mbarimbari kila siku na anaalika viongozi wengi what is the logic behind?
 
gas mtwara tuliaminishwa hivyo hivyo.

mpaka nione ndo ntaamini serikali ya ccm siiamini kabisaa.
 
Mradi wa umeme wa Stieglers Gorge utaipaisha Tanzania ya viwanda kwa kiwango ambacho si rahisi kuona hivi sasa.
Lakini ni kwa kiwango kikubwa.

Mradi ukikamilika Tanzaniabutakuwa imeongeza 2100MW katika gridi ya Taifa.
Hapa na mimi nitatembea kifua mbele, kama atuhimizavyo mh. Magufuli.

Sasa miradi kama ya kuchenjua madini itawezekana kutekelezwa nchini.

Mfano tu, Akosombo Dam huko Ghana ina installed capacity ya 1038MW(NUSU ya stiegler), lakini Ghana ilifanikiwa kuwa na moja ya smelter kubwa Afrika ya kuchenjua Aluminium.

Hapa nasema, Mh John Pombe Magufuli kalamba dume.
Kwenye miradi ya gesi tuliletewa maandishi mazuri kuliko hili lako
 
Naunga
Mradi wa umeme wa Stieglers Gorge utaipaisha Tanzania ya viwanda kwa kiwango ambacho si rahisi kuona hivi sasa.
Lakini ni kwa kiwango kikubwa.

Mradi ukikamilika Tanzaniabutakuwa imeongeza 2100MW katika gridi ya Taifa.
Hapa na mimi nitatembea kifua mbele, kama atuhimizavyo mh. Magufuli.

Sasa miradi kama ya kuchenjua madini itawezekana kutekelezwa nchini.

Mfano tu, Akosombo Dam huko Ghana ina installed capacity ya 1038MW(NUSU ya stiegler), lakini Ghana ilifanikiwa kuwa na moja ya smelter kubwa Afrika ya kuchenjua Aluminium.

Hapa nasema, Mh John Pombe Magufuli kalamba dume.
Naunga mkono hoja' %mia
 

Attachments

  • 20181213_100310.png
    20181213_100310.png
    68.2 KB · Views: 29
28.jpg

"Wawezeshe watu wote wanaofanya kazi na Rais Magufuli wasimame na wewe Mungu, nafunga kila kazi zenye kukwamisha mradi wa Stiglers Gorge, wizi, rushwa, maneno ya kuvunja moyo, nayazuia na kila mmoja katika nafasi yake atiwe nguvu". -Sehemu ya Sala ya Askofu Gwajima, Ikulu
 
Chama langu arsenal tunakipiga lini vile?

Ova
 
Hahahahaaa kamaa kanaconfidemce sana hako.....sjui ni sababu ya mkwanja kalionao bank ama vp
 
Ngoja CHADEMA waamke
Ningependa sana CCM na Chadema kila moja iunde tumu ya mpira wa miguu. Ningependa sana kushuhudia nini kitakachotokea pale timu moja itakapofungwa na nyingine. Maana Siasa za nchi hii utasikia chadema chadema utadhani hakuna vyama vingine vya siasa.
 
Mradi wa umeme wa Stieglers Gorge utaipaisha Tanzania ya viwanda kwa kiwango ambacho si rahisi kuona hivi sasa.
Lakini ni kwa kiwango kikubwa.

Mradi ukikamilika Tanzaniabutakuwa imeongeza 2100MW katika gridi ya Taifa.
Hapa na mimi nitatembea kifua mbele, kama atuhimizavyo mh. Magufuli.

Sasa miradi kama ya kuchenjua madini itawezekana kutekelezwa nchini.

Mfano tu, Akosombo Dam huko Ghana ina installed capacity ya 1038MW(NUSU ya stiegler), lakini Ghana ilifanikiwa kuwa na moja ya smelter kubwa Afrika ya kuchenjua Aluminium.

Hapa nasema, Mh John Pombe Magufuli kalamba dume.
Ujiandae kukatwa kwenye luku hadi hiyo hela ya watu irudi.
Usiniulize kwa nini.
Naomba kuishia hapo.
 
Back
Top Bottom