Nadhani jibu litatoka leo jioni huko Mwanza Mwanza, bando lako tuTusubirie jibu kutoka kwa lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani jibu litatoka leo jioni huko Mwanza Mwanza, bando lako tuTusubirie jibu kutoka kwa lissu
Toa sababuTundu Lisu anafaa kuwa AG au DPP lakini siyo Rais wa Tanzania!
WanasemaSasa zile risasi 36 zilikuwa za kazi gani
Nyomi anayopata Lissu inaanza kumpanikisha John. Anaanzia kupuyanga. Mpaka miezi 2 ikaishe utasikia karusha la nguoni.Kwanini tumepaniki kiasi hiki? Hatukujipanga kufanya kampeni? Eleza sera zako acha wananchi wachague siyo ueleze Mambo binafsi.
Mzee ka-float.Kama ni kweli basi ameshaona ngoma ni nzito
Hizo ndio kazi za watu wabishi na walalamishi!Toa sababu
Tundu Lisu anafaa kuwa AG au DPP lakini siyo Rais wa Tanzania!
Mr President nadhan sasa uwe wakati wa kutuambia unakwenda kutufanyia nini miaka hii mitano? Maana kama ni maneno ya kwenye send-off tushayasikia imetosha sasa.Watumishi wanalia madaraja hayasomeki,incriment yenyewe hakuna,mazingira ya walimu na wanafunzi pia mabovu,wakulima pembejeo gharama zipo juu,miundombinu vijijini Ni mibovu wanavijiji wanasafiri kwa shida hasa kipindi Cha mvua tunatumia mapenzi yao na kutoelewa kwao juu ya serikali mbadala kuendelea kuwageuza mitaji yetu na makarai ambayo hutupwa ghorofa linapokamilika.Jamaa eti hizi ndio sera zake kwa Sasa duh...View attachment 1555298
Nilidhani tungezungumzia shida za ikungi na sio Lissu.Hahah apewe kazi ya kubeba mafaili
Ni kweli kabisa.Na atajibu tu ikiwezekana leo hii