Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
CCM wamefanya kampeni peke yao tangu 2015 huku wapinzani wakiishia kuandamwa na polisi pamoja na kesi mahakamani.
Lakini leo hii baada ya miaka mitano, CCM wanaiogopa CHADEMA kwa njia zifuatazo:
1. Kuzuia vyombo vya habari kurusha matangazo yanayohusiana na Kampeni za CHADEMA. Hapa simaanishi TBC tu, ni vyombo vyote kama vile tv, redio na magazeti isipokuwa blogs na online tvs.
2. Kuandaa mechi za mpira na matamasha ya wasanii ili kuwarubuni watu wasiende kwenye mikutano ya CHADEMA.
3. Kuwaengua wagombea wa upinzani bila hoja za msingi.
4. Polisi kuwapa kesi wagombea wa upinzani pamoja na kuwashikilia masaa machache kabla ya kurudisha fomu za uteuzi ili wakose sifa baada ya muda kuisha.
5. Kubadilisha matumizi ya viwanja na maeneo yaliyo wazi, mfano, huko Serengeti.
6. Raisi Magufuli kumuahidi ajira Tundu Lissu (kikazi kidogokidogo) huku akijinadi kuwa Lissu anahangaika bure hatashinda! Amejuaje hatashinda? Angekuwa anamjali, angetoa pesa za matibabu wakati alipopigwa risasi.
CCM msiombe AMANI wakati hakuna HAKI. Ruhusuni vyombo vya habari viwe LIVE kwenye mikutano ya wapinzani kama mnavyokuwa LIVE kwenye mikutano yenu.
Pia wasikate matangazo maana hata ninyi mkiwa live, matangazo hayakatwi.
MWAGENI SERA ZENU, HALAFU OKTOBA TUTAFANYA UAMZI NANI TUMPE KITI.
Lakini leo hii baada ya miaka mitano, CCM wanaiogopa CHADEMA kwa njia zifuatazo:
1. Kuzuia vyombo vya habari kurusha matangazo yanayohusiana na Kampeni za CHADEMA. Hapa simaanishi TBC tu, ni vyombo vyote kama vile tv, redio na magazeti isipokuwa blogs na online tvs.
2. Kuandaa mechi za mpira na matamasha ya wasanii ili kuwarubuni watu wasiende kwenye mikutano ya CHADEMA.
3. Kuwaengua wagombea wa upinzani bila hoja za msingi.
4. Polisi kuwapa kesi wagombea wa upinzani pamoja na kuwashikilia masaa machache kabla ya kurudisha fomu za uteuzi ili wakose sifa baada ya muda kuisha.
5. Kubadilisha matumizi ya viwanja na maeneo yaliyo wazi, mfano, huko Serengeti.
6. Raisi Magufuli kumuahidi ajira Tundu Lissu (kikazi kidogokidogo) huku akijinadi kuwa Lissu anahangaika bure hatashinda! Amejuaje hatashinda? Angekuwa anamjali, angetoa pesa za matibabu wakati alipopigwa risasi.
CCM msiombe AMANI wakati hakuna HAKI. Ruhusuni vyombo vya habari viwe LIVE kwenye mikutano ya wapinzani kama mnavyokuwa LIVE kwenye mikutano yenu.
Pia wasikate matangazo maana hata ninyi mkiwa live, matangazo hayakatwi.
MWAGENI SERA ZENU, HALAFU OKTOBA TUTAFANYA UAMZI NANI TUMPE KITI.