Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magu atakuwa anataka kumuhonga Lissu ili awe AG!Kweli mambo ni mazito!HahahHh apewe kazi ya kubeba mafaili
Hajitambui huyo achana naeMbona kama umepanick? Au ni mihemko tu.
Wewe katafute takwimu ndio unazofikiri ni sahihi ndio uje upinge takwim zangu
Halafu uwe na heshma maana mama yako, mkeo, dada zako pia wanabadlisha hiyo kitu kila siku
Ndio ilani ya chama chake inavosema sasa unataka afanyeje mkuu, wale wapiga deki lami si wanamshangilia ... yeye kwake inatosha.Mzee wa tutashitakiwa MIGA ni bure kabisa kila hotuba yake lazima aombe wazungu wamsaidie!!!
Baada ya kuambiwa hana jipya sasa ameanza kuja na mapya!Kweli ameshikwa pabaya,anataka amuhonge Lissu uanasheria mkuu wa serikali 😁😁😁!Inaonekana watu hawajaelewa flyover na madaraja!Tundu hamshindi Magufuli popote, asubiri uteuzi kwa nafasi atakayoiweza sio urais🤣🤣🤣
Maendeleo hayana vyama
Sijui walikua wapi wakati wajumbe wakipita nyumba kwa nyumba kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwa wingi...... na sasa wanapita kutukumbusha umuhimu wa kuwa ulikojiandikishia tarehe ya uchaguziHaya matusi ndio yatasaidia Lisu kushinda?..
Mlivyokuwa mnahamasishana humu kwamba msiende kuboresha taarifa zenu kwenye daftari la mpiga kura mlifikiri huyo Lisu wenu atapigiwa kura na mawe?
Kitu kimoja cha ajabu ambacho Magufuli hawezi kufanya ni kumtaja Lissu kwa Jina lake....nadhani dhambi Ile inamtesa sana Mh.RaisLeo Magufuli aliweka kituo kidogo Ikungi wakati anatoka Dodoma ambapo wananchi walisimama barabarani kumsubiri akiwa anaelekea kwenye mkutano wa kampeni Singida. Pamoja na ahadi nyingine pomoni, pia amemuahidi mgombea mwenzake anaetokea Singida nafasi ndogo ya kazi kwa madai kwamba hii anayopambania hatoiweza...
Ni wajinga mkuu!Sijui walikua wapi wakati wajumbe wakipita nyumba kwa nyumba kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwa wingi...... na sasa wanapita kutukumbusha umuhimu wa kuwa ulikojiandikishia tarehe ya uchaguzi
Asubutuuuu akipewa uanasheria Yule si atauza nchi ubeligiji😂😂😂😂😂Baada ya kuambiwa hana jipya sasa ameanza kuja na mapya!Kweli ameshikwa pabaya,anataka amuhonge Lissu uanasheria mkuu wa serikali 😁😁😁!Inaonekana watu hawajaelewa flyover na madaraja!
Magufuul anafaa kuwa Nyampara wa barabara!Hahahah kati ya Lissu na JPm nani aliyepaniki?
Hadi leo Lissu hana hata anayoenda kufanya yeye ni kutukana na kulalamika tu kwa Magufuli hahhahaha bora asubiri hiko kikazi kidogo kuliko kujisumbua na kumaliza mafuta ya gari bure tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Duh, Dr slaa kumbe uko humu?Lissuuu wafanyakazi tunakupa kura zetu tumechoka kula mihogo kwa miaka mitano.
Magafuli tuliingia cha kike kumpa urais,ilipaswa awe Nyampara wa barabara na madaraja😁😁😁!Asubutuuuu akipewa uanasheria Yule si atauza nchi ubeligiji😂😂😂😂😂
Labda apewe nafasi ya uenyekiti wa CCM wilayani kwake🥁🥁🥁
Kwa huyu Mnyampaa akishinda apewe tu.Hajakosea! Lissu hawezi kuwa Rais.Anaweza kushinda lakini hawezi kupewa Nchi na Wenye nchi.
Wengi wa wanaomchukia Magufuli wamekatiwa mirija ya unyonyaji, rushwa, ubadhirifu wa maadili na mali ya umma. Hakuna janjajanja awamu hiiNi wajinga mkuu!
Yani kuna wakati najisikia aibu kweli kumuona mwanaume mwenzangu humu alikuwa anakejeli uboreshaji wa daftari la mpiga kura kwa kusema hawezi kwenda kupoteza muda, au hana muda mchafu alafu leo anazungusha ball zake eti Lisu atashinda?
Hawa jamaa ni majuha sana.
Hahahaha!!!Jiwe akiwa na beberu wake kabambiwa mkono kisawa sawa. View attachment 1555323
Amemwambia ukweli anajisumbua tuKwahiyo kashaanza kumuogopa lissu?