Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako kazini hao. Imeisha hiyo.Kambi DUBAI na una mechi VS MBEYA CITY tar 17/01/2023??
Upumbavu.....
Upumbavu wa nani sasa???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kambi DUBAI na una mechi VS MBEYA CITY tar 17/01/2023??
Upumbavu.....
Hata kambi ya siku 7 ina faida kubwa kama program inayowapeleka huko iko tight. Wana mengi wanaweza kuboresha ukichukulia wana kocha mpya.Kambi DUBAI na una mechi VS MBEYA CITY tar 17/01/2023??
Upumbavu.....
[emoji23][emoji23][emoji23]Upumbavu wa nani sasa???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DALILI NYINGINE YA UMASIKINI NI KUONA MWINGINE ANATUMIA PESA ZAKE VIBAYA.
maisha yanaenda kasi sana kutoka zama za kusheherekea ubingwa mara 1,2,3,4 plus pira birian mpk mpk leo kusherekea timu kwenda dubai hakika MADUNDUKA wameishiwaILE TIMU inayosemekana Ina hali mbaya ya kipesa imeweka Kambi ya wiki moja Dubai.
Timu hiyo ambayo ilisemekana imevuliwa ubingwa wa mapinduzi kumbe ilikuwa na mipango yake ya kujiandaa na michuano ya kimataifa imeonyesha tofauti ya club kubwa na ndogo inapokuja mashindano ya kimataifa
Huoni aibu wewe UTO pesa inaongea nyie fungieni hao misukule wenu kina kambole hapo avic townmaisha yanaenda kasi sana kutoka zama za kusheherekea ubingwa mara 1,2,3,4 plus pira birian mpk mpk leo kusherekea timu kwenda dubai hakika MADUNDUKA wameishiwa
Halafu kuhusu Mapinduzi Cup; tukubaliane tu timu imetolewa na Mlandege, na hivyo kuvuliwa ubingwa. Na kila mtu aliona. No politics on that.
Jamaa anachukia kweli utadhani anatoa pesa yake mfukoni [emoji3][emoji3]Upumbavu wa nani sasa???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DALILI NYINGINE YA UMASIKINI NI KUONA MWINGINE ANATUMIA PESA ZAKE VIBAYA.
Na Yanga imebaki eehKwani ni uongo kuhusu hilo basi la timu kushikiliwa na mdhamini, kiasi cha timu kutumia basi dogo "min bus" aina ya Toyota Coaster?
Halafu kuhusu Mapinduzi Cup; tukubaliane tu timu imetolewa na Mlandege, na hivyo kuvuliwa ubingwa. Na kila mtu aliona. No politics on that.
na baada ya kutolewa ikaenda Dubai kabla hata nusu fainali ya Mapinduzi Cup haijachezwaHalafu kuhusu Mapinduzi Cup; tukubaliane tu timu imetolewa na Mlandege,
A. Fei baada ya kununua uhuru wake yanga alienda dubai.Hyo timu bana hawana mpinzani mambo yao yanaenda kisomi sana...
Hapa ndo wale wa kusema kila mtu ashinde mechi zake wanapokuja..
Bora hata ungesema uongo! Yaani wewe umepitiwa na ka usingizi katamu hii asubuhi; halafu ukaishia tu kupata njozi ya kufikirika.A. Fei baada ya kununua uhuru wake yanga alienda dubai.
B. Nayo simba baada ya kutolewa kombe la mapinduzi imetimkia dubai.
C. Ukiunganisha dots utaona kuwa upo uwezekano wa uhusiano kati ya A na B. Au aliyefanikisha A kwenda dubai ndiyo huyo huyo aliyefanikisha B kwenda huko huko.
D. Au nimesema uongo ndugu zangu?
Marekani huu ni msimu wa baridi kali sana. Unapoambiwa Simba inaendesha mambo kisomi uwe unaelewa na siyo kukaza fuvu.Ilikuwa muende Washington DC sasa imekuwa Dubai.[emoji23][emoji23]?
Hata iwe joto, hakuna mchezaji wa Simba atapata VISA ya US, Wote wanajulikana kuwa ni wasafirishaji wakubwa wa mambo ya Mexico na PakistanMarekani huu ni msimu wa baridi kali sana. Unapoambiwa Simba inaendesha mambo kisomi uwe unaelewa na siyo kukaza fuvu.
Dubai ni Kijiwe cha wauza unga, hata machawa wa Sallah Mwijaku na baba Revo nao wamepelekwa Dubai.A. Fei baada ya kununua uhuru wake yanga alienda dubai.
B. Nayo simba baada ya kutolewa kombe la mapinduzi imetimkia dubai.
C. Ukiunganisha dots utaona kuwa upo uwezekano wa uhusiano kati ya A na B. Au aliyefanikisha A kwenda dubai ndiyo huyo huyo aliyefanikisha B kwenda huko huko.
D. Au nimesema uongo ndugu zangu?