ILE TIMU ISIYOKUWA NA PESA MPAKA MABASI YAKE KUSHIKWA KUWEKA KAMBI DUBAI

ILE TIMU ISIYOKUWA NA PESA MPAKA MABASI YAKE KUSHIKWA KUWEKA KAMBI DUBAI

Upumbavu wa nani sasa???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

DALILI NYINGINE YA UMASIKINI NI KUONA MWINGINE ANATUMIA PESA ZAKE VIBAYA.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
ILE TIMU inayosemekana Ina hali mbaya ya kipesa imeweka Kambi ya wiki moja Dubai.
Timu hiyo ambayo ilisemekana imevuliwa ubingwa wa mapinduzi kumbe ilikuwa na mipango yake ya kujiandaa na michuano ya kimataifa imeonyesha tofauti ya club kubwa na ndogo inapokuja mashindano ya kimataifa
maisha yanaenda kasi sana kutoka zama za kusheherekea ubingwa mara 1,2,3,4 plus pira birian mpk mpk leo kusherekea timu kwenda dubai hakika MADUNDUKA wameishiwa
 
Impact ya Dubai na maeneo mengine huwa hazionekana, vipi kabla ya msimu hakuna timu zimefanya kambi nje ya mbona hatujaona utofauti zilizo amua kubaki!!. Tz ina watu hovyoo sana hivi suala la kwenda Dubai nalo linahitaji MJADALA? Au hamjui kwamba aliyewapa hiyo ofa ndio atanufaika nayo akiwatumia mpitishe sembe lake!!.
 
Kwani ni uongo kuhusu hilo basi la timu kushikiliwa na mdhamini, kiasi cha timu kutumia basi dogo "min bus" aina ya Toyota Coaster?

Halafu kuhusu Mapinduzi Cup; tukubaliane tu timu imetolewa na Mlandege, na hivyo kuvuliwa ubingwa. Na kila mtu aliona. No politics on that.
Na Yanga imebaki eeh
 
Hyo timu bana hawana mpinzani mambo yao yanaenda kisomi sana...
Hapa ndo wale wa kusema kila mtu ashinde mechi zake wanapokuja..
A. Fei baada ya kununua uhuru wake yanga alienda dubai.

B. Nayo simba baada ya kutolewa kombe la mapinduzi imetimkia dubai.

C. Ukiunganisha dots utaona kuwa upo uwezekano wa uhusiano kati ya A na B. Au aliyefanikisha A kwenda dubai ndiyo huyo huyo aliyefanikisha B kwenda huko huko.

D. Au nimesema uongo ndugu zangu?
 
A. Fei baada ya kununua uhuru wake yanga alienda dubai.

B. Nayo simba baada ya kutolewa kombe la mapinduzi imetimkia dubai.

C. Ukiunganisha dots utaona kuwa upo uwezekano wa uhusiano kati ya A na B. Au aliyefanikisha A kwenda dubai ndiyo huyo huyo aliyefanikisha B kwenda huko huko.

D. Au nimesema uongo ndugu zangu?
Bora hata ungesema uongo! Yaani wewe umepitiwa na ka usingizi katamu hii asubuhi; halafu ukaishia tu kupata njozi ya kufikirika.
 
Ilikuwa muende Washington DC sasa imekuwa Dubai.[emoji23][emoji23]?
Marekani huu ni msimu wa baridi kali sana. Unapoambiwa Simba inaendesha mambo kisomi uwe unaelewa na siyo kukaza fuvu.
 
Marekani huu ni msimu wa baridi kali sana. Unapoambiwa Simba inaendesha mambo kisomi uwe unaelewa na siyo kukaza fuvu.
Hata iwe joto, hakuna mchezaji wa Simba atapata VISA ya US, Wote wanajulikana kuwa ni wasafirishaji wakubwa wa mambo ya Mexico na Pakistan
 
A. Fei baada ya kununua uhuru wake yanga alienda dubai.

B. Nayo simba baada ya kutolewa kombe la mapinduzi imetimkia dubai.

C. Ukiunganisha dots utaona kuwa upo uwezekano wa uhusiano kati ya A na B. Au aliyefanikisha A kwenda dubai ndiyo huyo huyo aliyefanikisha B kwenda huko huko.

D. Au nimesema uongo ndugu zangu?
Dubai ni Kijiwe cha wauza unga, hata machawa wa Sallah Mwijaku na baba Revo nao wamepelekwa Dubai.
 
Back
Top Bottom