ILE TIMU ISIYOKUWA NA PESA MPAKA MABASI YAKE KUSHIKWA KUWEKA KAMBI DUBAI

ILE TIMU ISIYOKUWA NA PESA MPAKA MABASI YAKE KUSHIKWA KUWEKA KAMBI DUBAI

Na nyie mlongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mihogo FC, FEI kawakataaa livee hawataki na kawacheka kwa dharauuuuu.

Poleeeeeeeeni utopwiseeeeeeeeeeee.

Byuti byuti imekua tifu tifu, mnalooooo hiliiiiiiii

Watu weuweeeeeeeeeee
Mlongo umefufukia wa DUNDUKA wangu?
 
Dunduka lenu shemela Kalpana , ni kama MAKOLO, KOLO, NGADA etc.. Mkiwa wengi mnaitwa madunduka, ukiwa peke yako kama hivi DUNDUKA
Hata ww dunduka jana mtoa jina kasema ukifungwa huko zenji ukarudi kwenu bara ww ni dunduka..hivyo na ww ni dundu 😆 😆
 
Hata ww dunduka jana mtoa jina kasema ukifungwa huko zenji ukarudi kwenu bara ww ni dunduka..hivyo na ww ni dundu 😆 😆
Kwani Yanga alifungwa jana? Shemela DUnduka bana unaniangusha..!!

CC Bantu Lady embu njoo umsikie huyu DUNDUKA anasema YANGA jana kafungwa
 
Kwani Yanga aliyefungwa jana? Shemela DUnduka bana unaniangusha..!!
Bwana acha ugumu wa kuelewa ww Dunduka wa utopoloni...kumbe hamkufungwa basi waliotolewa mashindanoni 😆 😆 kikubwa mmerudi na nyie ndo wale wale...ww niite hivyo na mm ntakuita hivyo hivyo....
 
Bwana acha ugumu wa kuelewa ww Dunduka wa utopoloni...kumbe hamkufungwa basi waliotolewa mashindanoni 😆 😆 kikubwa mmerudi na nyie ndo wale wale...ww niite hivyo na mm ntakuita hivyo hivyo....
Yaani dunduka bwana, unaona wewe kutoka kwa kufungwa ni sawa kwa vile Yanga katoka kwa sare..!! Dundu at her best
 
nendeni hata mbinguni hizi zama za wananchi,km kwenda dubai ndo maandalizi mazuri ya timu mtatuambia huko dubai mmekutana na timu ngapi zilizokuja kujiandaa,na ligi kibao bado zimesimaa km budesliga,ligi ya sweden,norway n.k...
nyie cku hzi mmekuwa watu wa propaganda,mmeenda dubai mpate vya kuzungumza au kumzungumziwa maana mmepoteza mvuto mbele ya mashabiki wenu..MADUNDUKA
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Afu bwana feisal naye si yuko huko huko??[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]au basi
 
Impact ya Dubai na maeneo mengine huwa hazionekana, vipi kabla ya msimu hakuna timu zimefanya kambi nje ya mbona hatujaona utofauti zilizo amua kubaki!!. Tz ina watu hovyoo sana hivi suala la kwenda Dubai nalo linahitaji MJADALA? Au hamjui kwamba aliyewapa hiyo ofa ndio atanufaika nayo akiwatumia mpitishe sembe lake!!.

Tafta hela mkuu,acha makasiriko
 
Jimbo la Florida hamnaga winter acha kukariri sio marekani yote inabaridi
Unaongelea Florida ipi wewe? -3°C siyo baridi au unaongelea Florida ya Philippines? Kagua tena taarifa zako we mjuaji
 
Back
Top Bottom