ILE TIMU ISIYOKUWA NA PESA MPAKA MABASI YAKE KUSHIKWA KUWEKA KAMBI DUBAI

ILE TIMU ISIYOKUWA NA PESA MPAKA MABASI YAKE KUSHIKWA KUWEKA KAMBI DUBAI

Kwani ni uongo kuhusu hilo basi la timu kushikiliwa na mdhamini, kiasi cha timu kutumia basi dogo "min bus" aina ya Toyota Coaster?

Halafu kuhusu Mapinduzi Cup; tukubaliane tu timu imetolewa na Mlandege, na hivyo kuvuliwa ubingwa. Na kila mtu aliona. No politics on that.
Dunduka FC hawawezi kuelewa..!!!
 
A. Fei baada ya kununua uhuru wake yanga alienda dubai.

B. Nayo simba baada ya kutolewa kombe la mapinduzi imetimkia dubai.

C. Ukiunganisha dots utaona kuwa upo uwezekano wa uhusiano kati ya A na B. Au aliyefanikisha A kwenda dubai ndiyo huyo huyo aliyefanikisha B kwenda huko huko.

D. Au nimesema uongo ndugu zangu?
Tutajua mbichi na mbivu soon...
 
Kwani ni uongo kuhusu hilo basi la timu kushikiliwa na mdhamini, kiasi cha timu kutumia basi dogo "min bus" aina ya Toyota Coaster?

Halafu kuhusu Mapinduzi Cup; tukubaliane tu timu imetolewa na Mlandege, na hivyo kuvuliwa ubingwa. Na kila mtu aliona. No politics on that.
Na nyie mmetolewa na nani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kambi DUBAI na una mechi VS MBEYA CITY tar 17/01/2023??

Upumbavu.....
Pesa zako? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pambaneni hapo kimbiji kibonde maji.

Na Fei amewakataa huko hawatakiiiiiiii. Tena kawachekaaa kwa dharauuuu.
 
Bora hata ungesema uongo! Yaani wewe umepitiwa na ka usingizi katamu hii asubuhi; halafu ukaishia tu kupata njozi ya kufikirika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Fei amewakataa live shogaaa angu, km hawajui vileee na kasema hataki kurudi kimbiji kibonde maji na 4ml za mboga.

Hatakiiiiiiii na kawachekaaaaa kwa dharauuuu.

Byuti byuti imegeuka tifu tifu. Watu weuweeeeeeeeeee
 
Dunduka FC hawawezi kuelewa..!!!
Na nyie mlongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mihogo FC, FEI kawakataaa livee hawataki na kawacheka kwa dharauuuuu.

Poleeeeeeeeni utopwiseeeeeeeeeeee.

Byuti byuti imekua tifu tifu, mnalooooo hiliiiiiiii

Watu weuweeeeeeeeeee
 
Huoni aibu wewe UTO pesa inaongea nyie fungieni hao misukule wenu kina kambole hapo avic town
nendeni hata mbinguni hizi zama za wananchi,km kwenda dubai ndo maandalizi mazuri ya timu mtatuambia huko dubai mmekutana na timu ngapi zilizokuja kujiandaa,na ligi kibao bado zimesimaa km budesliga,ligi ya sweden,norway n.k...
nyie cku hzi mmekuwa watu wa propaganda,mmeenda dubai mpate vya kuzungumza au kumzungumziwa maana mmepoteza mvuto mbele ya mashabiki wenu..MADUNDUKA
 
Wakale upepo wa bahari wakale maisha dubai
 
SIMBA TUNAENDA DUBAI YANGA WANAENDA UWANJA WA FISI[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
SIMBA TUNAENDA DUBAI YANGA WANAENDA UWANJA WA FISI[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Kocha wenu wa makipa yupo Segerea kwa kesi ya unga yeye na Cambiaso, Sasa inaonekana bado hamjakoma, za Mwizi ni arobaini.
 
Huko simba alishatoka zamani. Hayo ni malengo ya timu ndogo kuzikamia timu kubwa.
Malengo ya simba ni CAFCL .
Hii propoaganda imewachota akili, simba hmna uwezo kubeba ilo kombe la caf mnaenda kama washiriki tu. Enzi za manara akiwa msemaji mlijinasibu kuchukua ubingwa miaka 10 mfululizo yanga katengeneza timu kakupiga gap nyumbani sasa hivi mmeamia kwenye propaganda ya CAF ni kweli kwa sasa linapokuja suala la mashindano ya kimataifa bado yanga anajitafuta ila akipata funguo ya haya mashindano sijui mtakuja na propaganda ipi tena na hapa nyumbani sio kwamba hamtaki ubingwa ila mnaukosa kwa sababu yanga ana timu imara sana kushinda nyie
 
ILE TIMU inayosemekana Ina hali mbaya ya kipesa imeweka Kambi ya wiki moja Dubai.
Timu hiyo ambayo ilisemekana imevuliwa ubingwa wa mapinduzi kumbe ilikuwa na mipango yake ya kujiandaa na michuano ya kimataifa imeonyesha tofauti ya club kubwa na ndogo inapokuja mashindano ya kimataifa
 
Kwani ni uongo kuhusu hilo basi la timu kushikiliwa na mdhamini, kiasi cha timu kutumia basi dogo "min bus" aina ya Toyota Coaster?

Halafu kuhusu Mapinduzi Cup; tukubaliane tu timu imetolewa na Mlandege, na hivyo kuvuliwa ubingwa. Na kila mtu aliona. No politics on that.
Tuzungumze kuhusu Mapinduzi tena, tafadhali..!
 
Back
Top Bottom