Ili kukimbizana na umri kuanzia wiki ijayo naanza kutongoza wanaume

Unaendelea kuuza chai kama kawaida yako mara mwanaume mara mwanamke.
 
Nyuzi zako sijui zina kisa gani na wanawake
 
Huyu ID yenyewe ni sexless huenda anajinsia mbili sina imani nae unalala kitandani nae kitandani badala ya kumaliza unakuta na ile ya pili yake inataka kushtuka kashachomeka
Ushauri ukiona kitu kinapigiwa mnada sana kuwa makini na kitu hiko mi simo
 
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
 
PCHA NI MUHIMU TUONE YALIYOMO YAMO
 
Hahahaha, umenichekesha sana uandishi wako but honestly nimekuonea huruma sana, nna dada yangu hajaolewa mpaka leo wakati huo wadogo zetu wote washaolewa so huwa namuona status zake what's app anahangaika sana.....all in all mwanamke anahitaji kuwa na mume...over
 

Yaani hata ujisifie kuumbika vipi, bado hatudamganyiki! Maana wewe ni Sexless ! Yaani huna jinsia!
 
Tongoza tu, Dunia yenyewe ndio hii hii...Ukisubiri Dunia nyingine utachelewa......Tena anza na wanaume wa JF....Bado haujachelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…