Ili kukimbizana na umri kuanzia wiki ijayo naanza kutongoza wanaume

wee kilaza acha ushoga, unatongozaje mwanaume mwenzako? au unazani hatujui kua wewe ni jianaume?
 
We jamaa unakuaga mwanaume au mwanamke? Samahani lakini
 
Hongera sana kwa kujiambia na kutwambia wengine mimi.nahitaji mke na naona wanifaa njoo pm tuyajenge momy!! Usiogope!!
 
Nikupe namba za Bujibuji Simba Nyanaume uanze nae
 
Njoo unitongoze nipo tayari.
 
Cheki na shigela wa ccm ni mjane atakufaa
 
[emoji23][emoji23] we kiboko umenichekesha sanaaaa [emoji1787], ila upande mwingine nimependa umkweli hutaki kuremba kabla jajajilengesha wewe umesha fyatua [emoji23][emoji23]
 
Nina mashaka wewe ni delicious...
 
Kuwa makini. Usije kukuta anazo mbili.... usiku unaamka unashangaa anakubashia. Si umeona anajiita sexless?
Babu
Huyo ana dalili zote za kuwa delicious sasa ameona anazeeka na mbungi zinapungua.

Muache atongoze bana
 
Kazi ipo. Ngoja basi walau tumalize haya ya Yukreini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…