Ili kukimbizana na umri kuanzia wiki ijayo naanza kutongoza wanaume

Kama sio wakili msomi wewe ni waifu matirio iliyekuwA nakutafuta miaka miaka yote... nihakimishie Hilo nije PM chap kwa haraka
 
Kuwa makini. Usije kukuta anazo mbili.... usiku unaamka unashangaa anakubashia. Si umeona anajiita sexless?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha wee.
 
Kuna rafiki yangu kaniambia "mwaka huu lazima niolewe hata kama na tahira".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aunt taratibu bas nawee, ndoa tamu bhana.
 
Huyu ID yenyewe ni sexless huenda anajinsia mbili sina imani nae unalala kitandani nae kitandani badala ya kumaliza unakuta na ile ya pili yake inataka kushtuka kashachomeka
Ushauri ukiona kitu kinapigiwa mnada sana kuwa makini na kitu hiko mi simo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu hujakosea hili ni dume kweli, limeamua kuja kwa mwandiko wa kike. Shauri zake ngoja wahuni wajee walipelekee moto kweli.

kesho kutwa aanze kutudekea humu kama kina cocastic/ James delicious.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani usingenitaja mie comment yako isingeeleweka? Au nimekukaa sana moyoni husikii huoni ni mie tyuuh, kupelekewa motoo ajabu kwan? Nawee pelekewa motooo kwan tobo huna ambalo mkunyenge unaweza pita? Sasa yeye akipelekewa moto wee unateseka na kipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hebu nipishee kuleee, kupelekewa motooooo ni fashiooooooooooooooon!!! Weuweeeeeeeeeeeeeeeeeh
 
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi kama Ndoa ipo ipo tu na kama haipo haipo tu ni kumshukuru Mungu kwa kila jambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…