Ephen atupe story jinsi alivokutana na Lucas mwashambwa, ilikuaje
Sijawahi kukutana na pisi mbovu, kila niliyewahi kukutana nae kupitia hizi networks ana upekee. Japo mwaka fulani..dah, nilikutana na pisi moja hivi!! Kuna wanawake wazuri mkuu, nilijiona kabisa sipo ligi yake🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Ila we jamaaNiweke moja
Niweke moja ya Visa vyangu.
Ilikuwa mwaka 2019 kuna mdada alikuwa analike sana picha zangu Facebook enzi hizo najipost sana,
Sasa siku sio nyingi nikaona mdada kama ananielewa hivi ikabidi niseme inbox kuomba namba mtoto akatoa zikaanza chart za kila dakika baada ya siku kadhaa mipango ya kuonana ikaanza!
(Hapo alikuwa ashanitumia vipicha vyake kadhaa anaonekana mtoto mzuri ana kasura kazuri sana)
Siku ya kuonana live ikafika ambapo yeye ndiye alisafiri kutoka mkoani alipo kuja huku nilipo mimi tukawa tunawasiliana kila muda kujua kafika wapi...ukweli nilikuwa nimempania sana kumtafuna kiroho mbaya ila nilipofika stand kumpokea nilichoka kabisa baada ya kukuta ni kadada kafupi sana halafu kimenenepea kwa juu ila chini ni flat screen!
Yaani alichobarikiwa ni sura tu ila umbo lake baya sana yaani kafupi kanene kwa juu halafu kana kitambi niliona hata aibu kutembea naye mtaani watu wangenishangaa na nilimuonea huruma kumkimbia ikabidi nilipie lodge mitaa ya hapo stand nikahifadhi humo nikaagiza mhudumu atuletee msosi.
Tulilala humo ikabidi nilewe kwanza ndo nipate mzuka wa kukala maana vile kalivyo nilikafananisha na vitu vya ajabu.
Uzuri kalikuwa na mbususu safi na tamu halafu kitandani kanajiweza ndo kalichobarikiwa.
Kesho yake nilimpandisha basi arudi kwao baadae nikaanza kumkwepa taratibu mpaka akazoea.
Msema kweri ni mpenzi wa Mungu🤣🤣🤣.Mkaliiiii...
Nyie hamfungukagi sana sijui kwaniniHii mada imejaa wanaume tu
Hahaha.............Sina story Mjukuu, si unajua sisi tumezaliwa zamani 😜Lete na wewe story Yako Tucheke 😀😀
Inawezekana mkuu japo haiwezi kuwa hivyo kwa % zote, ila sikupingi Bw. Iddi Makengo doctor love.Kudate na mtu 4yrs++ parefu, labda tuseme mapenzi yaliisha sio kutafuta challenges mpya
Na ndoa ikaendelea vizuri?Umenikumbusha nyimbo ya Rupert Holmes inaitwa Escape,(Pina Colada)
Rupert alikua kachoshwa na mke wake,akaamua atafute mwanamke MWINGINE amuoe,time hiyo hakukua na Simu Wala fb,so akanunua Gazeti kaficha utambulisho wake,akaweka tangazo kua anatafuta mwanamke,sifa asiwe smart sana awe na half brain,asiwe mlevi,hata kama anapenda yoga sio mbaya,Cha mwisho awe anapenda Pina colada (aina ya chakula)..
Akatokea mwanamke ambae ana sifa kama zile,nae kachoshwa na gume gume lake,wakapanga date kukutana,siku ya kukutana kaenda kukutana na mke wake.. wakachukuana wakarudi home..
Haha kaka na nyimbo ikaishia hapo,.Na ndoa ikaendelea vizuri?
Iddi Makengo🤣🤣🤣Inawezekana mkuu japo haiwezi kuwa hivyo kwa % zote, ila sikupingi Bw. Iddi Makengo doctor love.
😂 kumbe una akaunti hadi humuIddi Makengo🤣🤣🤣
Aisee story yao inachekesha sana.Haha kaka na nyimbo ikaishia hapo,.
Miaka ya 2016+ nlikuwa nasomaga sana habar zake🤣nikajiona siwajui wanawake😂 kumbe una akaunti hadi humu