sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Wakwanza ana miaka 42 last born ana miaka 32.Ila sumbai una vituko😂
Una mtoto mwenye age 35 above? Ili niingie kwenye ukoo wako upunguze kuniwaza
Huyo ndio anakufaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakwanza ana miaka 42 last born ana miaka 32.Ila sumbai una vituko😂
Una mtoto mwenye age 35 above? Ili niingie kwenye ukoo wako upunguze kuniwaza
Namtaka huyo mwenye 42Wakwanza ana miaka 42 last born ana miaka 32.
Huyo ndio anakufaaa
Ulifuata mwongozoSijutiii kutana nawewe lo!💋💕
Hahahaha huyo kashazeeeka bwana. 42 unataka ule pensheni au??Namtaka huyo mwenye 42
Mlimpokea au mlikula kona?Umenikumbusha mshikaji wangu Lumi. Tumevuka maji toka Kigamboni kumpokea demu katoka Bagamoyo hakuwani kumuona. Si akamkimbia baada ya kumuona kwa mbali. Eti sura haikuwa kama kwenye picha, kademu kembambaaa halafu kamepiga mkorogo hatari
Lumi alizima simu tukamkaribia kuchunguza kama anaweza kukosa nauli ya kurudi. Baada ya saa akapanda daladala akarudiMlimpokea au mlikula kona?
Jamani....sasa mbona kama unatulaani?Nyie hamfungukagi sana sijui kwanini
Nyie wachoyo ndo maana hamna maendeleo
Hahahaha huyo kashazeeeka bwana. 42 unataka ule pensheni au??
Hahahaa we utampelekesha... Utafanya afe mapemaSili pensheni, namtunza uzeeni
Basi baki na mwanaoHahahaa we utampelekesha... Utafanya afe mapema
Chukua huyu last boni msumbuane naeBasi baki na mwanao