Si ukubali tu ndugu zako walikuwa hawana elimuHuwa sikisii:
View attachment 3080206
Hsppo nyerete kawachwa kwenye mataa, Malkiw anaongea na mtawala wa kweli, Joan Wicken, alipokuja Dar.
Unapiganiaje uhuru huna elimu?Hili swala la waislam kupigania uhuru alioandika sheikh Mohd Said ingalikuwa uongo kanisa katoliki hasa Pengo angalikuwa ashaomba msaada wa kifedha vatikan ili wajibu hoja. lkn kwa sababu limekuwa gumu kwao ndio maana wapo kimya
Sikubali.Si ukubali tu ndugu zako walikuwa hawana elimu
Siku hizo kulikuwa hakuna nanispaa ya Ilala.Kwani Mimi nimesemaje? Anatoglou umekuwa ukumbi ukitumiwa na manispaa ya Ilala huko nyuma kufanya vikao vyake.
Yule mzee nilikwishamdharau sana. Anataka kupaka rangi kwenye upepo. You can't undo history ya Tanganyika ambayo ndiyo iko kwenye syllabus ya NECTA kwa kuandika vijarida na kupeleka Ulaya kwenye idara za African history za vyuo vikuu vya huko. Hakuna lolote zaidi ya ujahidina Mohamed SaidMzee Said Mohamed mtaalam wa Historia ya Mitaa ya Tandamti, Kongo na Msimbazi atatupa majibu soon!
Uislam una elimu ambayo wewe hujaifikiria kichwani mwako.Unapiganiaje uhuru huna elimu?
Ipi hiyo? Mimi siijui.Yule mzee nilikwishamdharau sana. Anataka kupaka rangi kwenye upepo. You can't undo history ya Tanganyika ambayo ndiyo iko kwenye syllabus ya NECTA kwa kuandika vijarida na kupeleka Ulaya kwenye idara za African history za vyuo vikuu vya huko. Hakuna lolote zaidi ya ujahidina Mohamed Said
Binafsi simkubali kabisa na historia yake ya hovyo!Yule mzee nilikwishamdharau sana. Anataka kupaka rangi kwenye upepo. You can't undo history ya Tanganyika ambayo ndiyo iko kwenye syllabus ya NECTA kwa kuandika vijarida na kupeleka Ulaya kwenye idara za African history za vyuo vikuu vya huko. Hakuna lolote zaidi ya ujahidina Mohamed Said
Picha inaongea kuliko wewe.Kaachwaje kwenye mataa wakati na yeye anachangia hoja huku akitabasamu. Kwani humuoni kama anatabasamu hapo? 😀
Chadema wamejaa wasomi. jiulize kwanini wanatekwa kama kuku? msomi unatekwa?Unapiganiaje uhuru huna elimu?
lingalitajwa kanisa ungaliunga mkono kwa 100% japo ingalikuwa uongoBinafsi simkubali kabisa na historia yake ya hovyo!
halafu akili zako unazificha wpi ukiingia humu?Unapiganiaje uhuru huna elimu?
Mbona wanakipeleka mbali hivyo miaka 12 mbele!Mkuu, vuta subra. Kitabu cha kumbukumbu za Joan Wickens kilichozinduliwa DSM 2023 kitaachiliwa na wachapishaji Oxford University Press mwaka 2036 (miaka 30 baada ya kifo cha Joan).
Omba uhai tu na kumbukumbu njema ya bandiko lako. 🤔😄
Nyerere was very smartwaingereza ndio walimchagua Nyerere , kama ulikuwa hujui !! Mpango wa kuunganisha zenji na Tanganyika Nyerere alipewa maelekezo na waingereza ila sio akili yake ....Unajua kwa nn?
Kumchagua Nyerere ndio mtu pekee alikuwa brainwashed angeweza kuendeleza mipango yao ya kuwa kibaraka "'Puppet'' ....
naama, ameiweka Tanzania hii chini ya utawala wa CCM mpaka leoNyerere was very smart
Mbona hatuioni hiyo elimu mtaani?Uislam una elimu ambayo wewe hujaifikiria kichwani mwako.
Hii ndio changamoto inayo tusumbua mpaka leoSehemu ya kutafakari, tunakimbilia kwa waganga wa kienyeji watupe maarifa 🤣 🤣 🤣 🤣 .