Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?

Kisima,
Thread 'Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya' Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya
 
Weka ushahidi wa Uingereza kutusaidia vita dhidi ya Uganda hapa!! Siyo unaropoka ropoka hapa kama bata anayehara
 
Na kweli obote alikuwa muislam
 
Bila shaka enzi hizo wakina Nyerere na Sykes walijali kuwa huru tu kutoka kwenye ukoloni.
Hawakujali ukristo wala uislamu au upagani wa mtu.
Ni wazee wa hovyo wenye chuki ndani yao ndiyo wanasambaza udini kwa vijana wapuuzi wa kizazi hiki kwa historia zao uchwara za kuji-victimize.

Udini unasambaa kama kansa ilhali dini zenyewe si hata zetu.

Thuuu!
 
City...
Moja ya sababu ambayo Hamza Mwapachu alitaka harakati za uhuru ziongozwe na Nyerere ni dini yake.

Wakristo wengi walikuwa nje ya harakati za kupambana na Waingereza.

Angalia waasisi wa African Association 1929: Kleist Sykes, Mzee bin Sudi, Ali Said Mpima, Suleiman Majisu, Humbi Ziota na Ibrahim Hamisi kisha unawakuta Cecil Matola, Raikes Kusi na Rawson Watts.

TAA Political Subcommittee: Mufti Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Said Chaurembo, Hamza Mwapachu, Said Chaurembo, Dr. Vedasto Kyaruzi, Steven Mhando na John Rupia.

Sheikh Hassan bin Ameir akiuza kadi misikitini.

Yako mengi.

Hamza Mwapachu aliamini ikiwa Nyerere ataongoza harakati za kudai uhuru hili vuguvugu litawavutia Wakristo kwa kuona kiongozi ni katika wao.

Hivi ndivyo ilivyokuwa.

Hamza Mwapachu aliogopa Tanganyika isidai uhuru wake ikiwa na vyama viwili vya siasa vilivyojikita katika misingi ya dini kama ilibyokuwa India kati ya Congress Party ya Ghandhi na Nehru dhidi ya Muslim League ya Mohamed Ali Jinah.
 
Sykes na wenzake walitaka nyerere akae hapo,wakajipiga goli la mkono,japo baada ya uchaguzi wakakaa pembeni na kutia shaka masmuzi yao kwa kumpachika mtu wasiyemjua vizuri
 
Mzee umetisha sana, unamwaga madini kama yote, ila jamaa ni wadini kweli hawawezi kukubali, ila ukweli ni ukweli tu
 
Sheikh suleiman takadir aliunusa udini akaonya,akatengwa,1968 waislam wakamjua nyerere ni nani,the rest is history
 
Elimu ndo iliyomsaidia ,..na pia ni vatcan city...mzungu alijua wazi angemkabidh uenyekit Muslim basi shule zake na makanisa yangekuwa banned
 
Elimu ndo iliyomsaidia ,..na pia ni vatcan city...mzungu alijua wazi angemkabidh uenyekit Muslim basi shule zake na makanisa yangekuwa banned
Huwa waongo waongo tu mmejaa chuki za kidini,walitaka waache kibaraka mkristu,maana kwao mwafrika mkristu ni bora kuliko asiye mkristu,wakampa na katibu muhtasi mwingereza Ili kimchunga,akateua mawaziri waingereza,wakoloni walewale aliodai wabaya
 
Huwa sikisii:
View attachment 3080206

Hapo nyerere kawachwa kwenye mataa, Malkia anaongea na mtawala wa kweli, Joan Wicken, alipokuja Dar.



πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, Alitema bungo na kumlilia Malkia.
Tatizo humu JF wamejaa mambulula, hawawezi kukuelewa
Na uwezo wa kiakili wa hawa wachangiaji wa JF ndio picha halisi ya Tanzania, ndio maana tuko kwenye giza.
 
Siyo ubingwa wa manipulation bali alikua chaguo la wakoloni, mwenyewe alitaka kuwa padre,askofu mzungu akamkataza,walishaona atawafaa kwenye siasa,wakoloni wakimtumia mwapachu aliyekua afisa kipenyo wao(special branch) kumpenyeza taa kisha tanu
 
Unakua rais,unavunja taasisi ya waislam ya afrika mashariki,serikali yako,kwa miaka 25 haiteui waziri wa elimu muislam ila unateua padre kuwa waziri,na wanaofaulu na kupata elimu za juu ni watu wa dini yako kwa 75+%,mdini nani,nani mpandaji wa mbegu ya udini!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…