Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Una matatizo ya akiliWapo wengi sana kina Neema Lugangira, kunambi, Charles Kimei, Ng'wasu kamani, Hussein Mwinyi, Daniel Sirro, Deo Mwanyika, Sospeter Muhongo na wengineo wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una matatizo ya akiliWapo wengi sana kina Neema Lugangira, kunambi, Charles Kimei, Ng'wasu kamani, Hussein Mwinyi, Daniel Sirro, Deo Mwanyika, Sospeter Muhongo na wengineo wengi
Mama hana wa KUWATEUA ni wale wale walioshindwa kaziSasa huyo Kairuki aliye feli Wizara zote ana IQ gani ktk TAMISEMI??
I don't believe this is true!.Ikumbukwe, hata Hayati alimtema huyo mtu baada ya kugundua siyo mwaminifu na anao uraia wa USA na Tanzania.
Hoja hapa ilikuwaje Samia alishupaza kichwa na kumteua mtu asiye mwaminifu kwa Taifa letu na huenda ni asset wa Taifa lake pacha?!
Picha hapo chini zinajieleza bayana ni nani athaminiwaye kuliko mwenzake na mabeberu.
View attachment 2375504
View attachment 2375505
Wewe labdaUna matatizo ya akili
Yes ameolewa na ana watoto!, ni Mrs Bamwenda!. Mumewe ni Prof. Bamwenda wa TPRI!.Hivi Tax ameolewa na anawatoto?
Usichokijua the outgoing Minister ana exposure kubwa sana kukuzidi wewe na amekuwa ni mwanadiplomasia tokea akiwa mdogo mpaka leo amezeeka.Piga chini huyo akijifanya mkubwa kuliko Rais.
Duu [emoji40][emoji40][emoji40]Huu uamuzi wake ndio unazidi kumuonesha vile alivyo Rais asiyejitambua, ana pretend kutaka mtu wa kufanya nae kazi kwa kuangalia experience, akishampata anakuja kumuondoa kwa kukataa kukubaliana na msimamo wa wengine, Rais anapenda kuzungukwa na kundi la wajinga.
Nilipendekeza humu kuhusu kuifanyia mabadiliko idara hii kwa lengo jema kabisa na wapo waloniunga mkono.Ndiyo hasara ya kuwa na usalama wa Taifa ambao kazi yake ni kuilinda CCM ibakie madarakani badala ya kulilinda Taifa.
Exposure bila maarifa hukufanya uonekane wa kawaida sana.Usichokijua the outgoing Minister ana exposure kubwa sana kukuzidi wewe na amekuwa ni mwanadiplomasia tokea akiwa mdogo mpaka leo amezeeka.
Kuhusu hoja yako, hatuna uhakika ni kweli alijifanya Mkuu kuliko Mkubwa wake hii ni hearsay tuu maana Mkuu hajasema hivyo.
Dah! Misasa, aisee.Inawezekana hiyo picha aliyopiga, Bi KIZIMKAZI kaona anam OUTSHINE au Balozi ni DOUBLE AGENT alikuwa anatu spy?
Yes hata tuliye nae katokea kwenye mfumo huo huo, kwaiyo ni rahisi kupelekeshwa kama gari bovu.Kitu ambacho ni kibaya sana kwasababu hawapati mawazo kinzani.
Hili umesema ni kweli,angalia hata Marais wote wa hapa Tanzania tu huwa wanateua ma makamu wa rais wa aina gani.
Huwa wanateua wale wenye uwezo mdogo sana kisiasa.
WarmthAlafu mbona Balozi Mulamula kaegemea sana upande wa Baiden kuliko upande wa Kamala ambae ni Mwanamke mwenzie!!??
Acha kukarir vitu yule Ni mke wa Joe Biden na Wala siyo Kamala haris makamu wakeAlafu mbona Balozi Mulamula kaegemea sana upande wa Baiden kuliko upande wa Kamala ambae ni Mwanamke mwenzie!!??
Mkuu hayati alimkataa kitambo baada ya kugundua ana uraia U.S ila BI KIZIMKAZI alikuwa anafanya vitu kama vile anamkomoa hayati, kana kwamba hayati alikuwa anawaonea.Dah! Misasa, aisee.
Kwanza uteuzi au kuteuliwa ninwapi inahusika kuleta jina au rais anajiamulia tu Nani awe Nani na wapi ampelekeeKuna mahali kuna mambo hayapo sawa, just a matter of time.
Mkuu, jaribu sana wakti mwingine kutumia "diplomatic language" husaidia sana afya ya mijadala.Huu uamuzi wake ndio unazidi kumuonesha vile alivyo Rais asiyejitambua, ana pretend kutaka mtu wa kufanya nae kazi kwa kuangalia experience, akishampata anakuja kumuondoa kwa kukataa kukubaliana na msimamo wa wengine, Rais anapenda kuzungukwa na kundi la wajinga.
Kazi yao nyingine ni kusimamia mitihani ya Taifa ya darasa la nne na la sabaNdiyo hasara ya kuwa na usalama wa Taifa ambao kazi yake ni kuilinda CCM ibakie madarakani badala ya kulilinda Taifa.
Kwani ni peke yake kwenye serikali wenye uraia wa US?Mkuu hayati alimkataa kitambo baada ya kugundua ana uraia U.S ila BI KIZIMKAZI alikuwa anafanya vitu kama vile anamkomoa hayati, kana kwamba hayati alikuwa anawaonea.
Yete alijua Urais ni mwepesi tu na akaingiza watu wote wapuuzi ambao mwenzake aliwakataa! Alifanya mambo kwa sifa kumprove wrong JPM wakati hata viatu vyake havimtoshi!Mkuu hayati alimkataa kitambo baada ya kugundua ana uraia U.S ila BI KIZIMKAZI alikuwa anafanya vitu kama vile anamkomoa hayati, kana kwamba hayati alikuwa anawaonea.