Ilikuwaje Rais Samia akamwamini asiye mwaminifu?

Ilikuwaje Rais Samia akamwamini asiye mwaminifu?

Nakubaliana na wewe mkuu.

Ila hadi sasa atakuwa anajua kwanini hayati wengine aliwakata.
Magufuli RIP alikuwa ni kiongozi sahihi wa nchi hii mbali na makosa yake mengine ambayo yatajwa na bado hayajawa "proved".

Mulamula, Makamba Nape na wengine ambao aliwakataa alikuwa na sababu ambazo twawezasema ni "concrete" na ni kwa maslahi ya taifa.

Huwezi kuwa na sheria ya kukataza uraia wa nchi mbili lakini kunakuwepo na double standards kwenye kuajiri viongozi waandamizi wa nchi hii.

Hata huyu naniliu sidhani kama ameukana uraia wake wa Ukerewe.

Kuna maneno fulani hutumika kama "elites" au wachache wa juu ambao kuna wakti hufanya mambo ya ajabu sana na wananchi kuchekelea bila kufikira kwa undani.
 
Exposure bila maarifa hukufanya uonekane wa kawaida sana.

Waziri wa mambo ya nje na wizara yake ni alama (image ya nchi) huko nje na hutakiwa kuwa amesimama.

Ila kwenye hili (la kutolewa uwaziri) hakuna anaefahamu chanzo.

Kwamba hana maarifa una maanisha maarifa gani? Hivi mpaka CIA wana ruhusu asogee kwenye 0 parameter kwa Rais wa Taifa kubwa duniani unafikiria hawajamfahamu ni mtu wa aina gani? Sio kila mtu ana access ya kumsogelea Rais wa taifa kubwa USA.
 
Kwamba hana maarifa una maanisha maarifa gani? Hivi mpaka CIA wana ruhusu asogee kwenye 0 parameter kwa rahisi wa Taifa kubwa duniani unafikiria hawajamfahamu ni mtu wa aina gani? Sio kila mtu ana access ya kumsogelea Rais wa taifa kubwa USA.
Mkuu, umeshindwa kuelewa nimetumia neno maarifa kwa maana ipi?

Sizungumzii maarifa ya kukutana na Joe Biden au kupata security clearance, maana huko alikwishapita?
 
The Presidency is a jealous Institution, The rule of thumb remains the Same, NEVER OUTSHINE YOUR MASTER
 
Mkuu, umeshindwa kuelewa nimetumia neno maarifa kwa maana ipi?

Sizungumzii maarifa ya kukutana na Joe Biden au kupata security clearance, maana huko alikwishapita?
Mkuu mpaka unakutana na POTUS jua wewe sio kiazi ni mtu wa daraja jingine.
 
So, was she a threat?
Mkuu nime refer swala la jamaa apo juu kuwa why flag bearers wengi hupick running mate ambao uwezo wao uko Chini kimtindo, Mulamula has never been a threat to Our Madam President
 
Mkuu hayati alimkataa kitambo baada ya kugundua ana uraia U.S ila BI KIZIMKAZI alikuwa anafanya vitu kama vile anamkomoa hayati, kana kwamba hayati alikuwa anawaonea.
Embu nikumbushe kidg Ni kwamaba jiwe aliwahi kumteu Kisha akamtema mwanzo wa mam leberata mulamula Ni upi je aliwakuwa wazir wa maswla ya kigeni kabla ya jiwe kuingia madarakani au jiwe alimteuwa Kisha akamtema Kama kawaida yake

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mpaka unakutana na POTUS jua wewe sio kiazi ni mtu wa daraja jingine.
Namfahamu sana mama Mulamula na ni "well respected diplomat among UN corridors"

Yaani huyu ma marehemu Mahiga ni assets za maana sana kwa nchi.

Nimeuliza suali hapo juu la kuwa tishio lakini sidhani.

Labda ni ile kadi ya kijani na ile sherehe ya juzi.

Lakini mtu kakaa nje miaka mingi sana atashindwa kuwa na base ya maana?

Mbona hicho ni kitu cha kawaida sana?
 
Yes hata tuliye nae katokea kwenye mfumo huo huo, kwaiyo ni rahisi kupelekeshwa kama gari bovu.

Angalia yule DR wa Atomic sometimes nashindwa kumuelewa ongea yake na ukimya wake kama MPOZA😂
Ndio nilichomaanisha mkuu.

Nadhani ni uoga na kutokutanguliza maslahi ya taifa mbele, wanaangalia watu ambao hawatawafunika kisiasa.

Obama anasema alikuwa alifanikiwa zaidi kwakuwa alizungukwa na watu makini na waliomwambia ukweli bila kuogopa. Mara kadhaa hadharani alikuwa akimsifia Makamu wake na kusema ni mtu asiye na mchezo. Hapa kwetu hili likitokea ujue upo ndotoni na unapaswa kuamka ili usijikojolee au kutafuna godoro.

Sasa tuliyenae katokea huko na yeye kaleta wa kutokea huko, bila kuwa na PM mkali na asiye na mchezo, pole yetu.

Kibaya tena na huyo PM akileta ukali na kuonesha makali ataonekana anataka kung'aa zaidi ya boss na atafurushiwa huko mbali.😂😂
 
Ndio nilichomaanisha mkuu.

Nadhani ni uoga na kutokutanguliza maslahi ya taifa mbele, wanaangalia watu ambao hawatawafunika kisiasa.

Obama anasema alikuwa alifanikiwa zaidi kwakuwa alizungukwa na watu makini na waliomwambia ukweli bila kuogopa. Mara kadhaa hadharani alikuwa akimsifia Makamu wake na kusema ni mtu asiye na mchezo. Hapa kwetu hili likitokea ujue upo ndotoni na unapaswa kuamka ili usijikojolee au kutafuna godoro.

Sasa tuliyenae katokea huko na yeye kaleta wa kutokea huko, bila kuwa na PM mkali na asiye na mchezo, pole yetu.

Kibaya tena na huyo PM akileta ukali na kuonesha makali ataonekana anataka kung'aa zaidi ya boss na atafurushiwa huko mbali.😂😂
Upo sahihi mkuu. 😂
 
Ikumbukwe, hata Hayati alimtema huyo mtu baada ya kugundua siyo mwaminifu na anao uraia wa USA na Tanzania.

Hoja hapa ilikuwaje Samia alishupaza kichwa na kumteua mtu asiye mwaminifu kwa Taifa letu na huenda ni asset wa Taifa lake pacha?!

Picha hapo chini zinajieleza bayana ni nani athaminiwaye kuliko mwenzake na mabeberu.

View attachment 2375504
View attachment 2375505
Sisi Sukuma gang,tumejikalia pembeni tukiangalia mchezo unaenda.Maana mwanzo tuliitwa wapuuzi na washamba.😷😷🏃
 
Embu nikumbushe kidg Ni kwamaba jiwe aliwahi kumteu Kisha akamtema mwanzo wa mam leberata mulamula Ni upi je aliwakuwa wazir wa maswla ya kigeni kabla ya jiwe kuingia madarakani au jiwe alimteuwa Kisha akamtema Kama kawaida yake

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hapana alikuwa Balozi kule ughaibuni alijua mienendo yake akampeleka Mashilingi kuwa balozi.
 
Yes hata tuliye nae katokea kwenye mfumo huo huo, kwaiyo ni rahisi kupelekeshwa kama gari bovu.

Angalia yule DR wa Atomic sometimes nashindwa kumuelewa ongea yake na ukimya wake kama MPOZA[emoji23]
Ghalib Bilali [emoji1787]
 
Kitu ambacho ni kibaya sana kwasababu hawapati mawazo kinzani.

Hili umesema ni kweli,angalia hata Marais wote wa hapa Tanzania tu huwa wanateua ma makamu wa rais wa aina gani.

Huwa wanateua wale wenye uwezo mdogo sana kisiasa.
Huoni hata Nyerere (RIP) alivyoshindwa kufanya kazi na Kambona (Rip)......

Kumteua mtu mwenye nguvu kisiasa kuliko Rais kwa Africa ni dhambi.
 
Back
Top Bottom