Imenishangaza Katibu Mwenezi Chama Kikubwa Ndugu Paul Makonda hana Agenda; Anajitwangia tu

Makonda anajua kuyaburuza
 
Umezidi uchawa wewe kunguni
 
CCM yote inamtegemea Makonda mmoja.....?
 
Unateseka ukiwa wapi Bush Dokta?
 
Paul Mkaonda: Mwaka huu mtaota nywele kichwani,atema Cheche Kwa DED 🔥🔥

View: https://www.youtube.com/live/OpB4WlbnBG0?si=zFlr1wAfBB7-_GoU
 
Na Tume huru iwepo ndio utaona
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.hii ni kutokana na kuwa na sera zuri na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania.
 
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.hii ni kutokana na kuwa na sera zuri na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania.
Thubutu ...jipe matumaini hewa
 
Anatumia fedha za uma bila sababu yoyote
Ni pesa za chama zile sio umma hao chadomo ndy wanatumia za umma hizo ruzuku, ccm ina miradi ya kutosha hay taja miradi ya chadomo bila ruzuku wanatoboa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…