Imetimia miaka kumi tangu nianzishe ukoo wangu, maendeleo ni mazuri

Usiniambie hujui kwamba siye huyu shemeji yako? Wa kwetu ni Mdakuzi mwaya.
Huyu ananiudhiiiiiiiiii, ana ujinga mwingi.
zote hizo ni ID zangu ,inategemea na content ninayotaka kupost na nimeamkaje siku hiyo,i love you baby
 
Sio kweli,hii bullying ni mbaya sana ukiwa na roho ndogo unajidhuru
Changamoto ukizichua in a positive way zina faida kubwa kuliko hasara, bt shida ya wengi wetu ni watu wa negativity sana.

NIKUTAKIE KILA LA KHERI MKUU ktk safari yako hii mpya.
 
Hongera sana.
 
"Kila munu Ave na kwao, Apanu pa chilambo, kwa Babaye na Mamaye, kukaya kwa vele kwa jije, Kila Munu lina nowela isiku ya aenda kwao, Kwa Babaye na Mamaye, Kukaya kwa vele kwa jiije." - Harmonize.
Mwimbaji wa kwanza wa huo wimbo nadhani ni Tongolanga,sio Harmonize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…